inawezekana!Je ina uhusiano na Tsunami iliyotokea indonesia leo?
Kuna mvua kubwa inaendelea kunyesha hapa jijini...
Wataalamu tujuzeni kunani cuz hizi radi zinaweza kutuangusha tulio magorofani...
hatukujifunza baada ya yale ya mwaka jana, sijui hata kama serikali imejiandaa na maafa.
toooooobaaaaa kwa hiyo leo nalala posta?
fedha zimeishia kwenye msiba wa wauza sura! Chezeya ccm veveee! Nyie mtajijua wenyewe.
Arumeru wauliza leo hii? Mambo ya kule yashaisha...tunasonga mbele.Rejao matokeo ya Arumeru vipi? Maana mara ya mwisho ulisema tusubiri ya vijijini? Vp ushayapata uyajumuishe?
Kumbe mtoto wa maghorofani wewe?
pole upo hall ii?
Rejao matokeo ya Arumeru vipi? Maana mara ya mwisho ulisema tusubiri ya vijijini? Vp ushayapata uyajumuishe?
Kumbe mtoto wa maghorofani wewe?
pole upo hall ii?
Na adha kweli tunaipata...kuna foleni kali sana...
kha! jamani mbavu zangu mie :heh::heh::heh: mtuoneage huruma maana umepiga ikulu hujabakisha pahala!