Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
Kibonzo hakina mashiko!Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Kuna mechanism gani ya kucontrol kama kweli huyo mtu ametubu, na hawezi tena kurudia yale aliyokuwa akiyafanya mwanzoni?Unafahamu nadharia ya "Kuokoka"??????? hii ni kwa wakristo sijui waislam wanaitaje kitendo cha kuacha dhambi na kumkana shetwani na kujutia dhambi zako huku ukikiri kutokutenda dhambi tena nakuamua kuishi maisha mapya. Wana CCM ni kama wanaokoka
Kibonzo hakina mashiko!
Huna mfano halisi wa jambo hilo!
Milya mnamsingizia kwa roho mbaya zenu na Nepi!
ndio nimekuja hivi...
Am just a little bit confused, ndio maana nimetaka kufahamu!
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...
:bange::A S-coffee::A S-confused1:
wote wanao kuja CDM kwanza wanapewa kitubio kwa ungama madambi yao yote na kufanyiwa sala ya toba. akirudia nje! sasa wewe unashangaa nini. nawewe fanya hivyo utapokelewa.
Hii language mnayotumia naona kama imeegemea kwenye imani fulani ambayo mimi siiamini wakuu.Rejao, umebaki wewe njoo ufanyiwe maombi.
Kuna mechanism gani ya kucontrol kama kweli huyo mtu ametubu, na hawezi tena kurudia yale aliyokuwa akiyafanya mwanzoni?
Kinachonitatiza ni kwamba, kwanini CDM wanakurupuka kuwapokea bila hata kufanya analysis na kama kuwa interview hawa watu ili wafahamu kilichowatoa CCM ni nini? Kumbuka kama hawa watu walikuwa Tatizo ndani ya CCM na huko CDM wanaenda kuongeza matatizo tena,,Hiyo ndiyo changamoto inayobidi kuletwa na mimi nashauri kwamba hawa watu wasipewe nafasi zozote katika chama zaidi ya kuwa wanachama wa kawaida au unasemaji Rejao
Nguo chafu ikifuliwa huwa inakuwa safi, mwili mchafu ukioga unakuwa safi,
Ndege wa rangi moja huruka pamojaaaaaa Uliona wapi Bundi kwenye kundi la Njiwa eeeeee!!
CCM wote wana rangi moja.
CHADEMA wote wana rangi moja.
Mtu akitoka CCM kwenda CDM lazima atafuata masharti ya CDM
Mtu akitoka CDM kwenda CCM lazima atafuata masharti ya CCM.
Ukiona wenzio wanatembea UCHI na wewe vua nguo.
KIFO CHA CCM KIMEFIKA!!!!!!!!
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!