Search results

  1. bobdizo

    Nauza playstation 3 bei nafuu

    Nauza playstation 3 kwa bei poa sana ya laki3 tu iko poa imetoka uk.. inakubali na cd za cppy pia.. tuwasiliane kwa namba 0777871199
  2. bobdizo

    Tenco w3 4g inauzwa

    nauza tecno w3 lte mpyaaaa kwa laki na 80 tu.. 0713871199
  3. bobdizo

    Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

  4. bobdizo

    Nauza tecno L8 mpyaaaaaa

    nauza cm tecno L8 mpya kwa 230000 tu ina siku tatu toka. ninunue sem nimepata shida ya ghafla.piga au nichek whatsapp kwa 0713871199
  5. bobdizo

    Nauza gari RVR bei nafuu sana

    nauza gari aina ya RVR kwa bei nafuu sana mil 3 tu.. 0713871199
  6. bobdizo

    Shared message via UberSocial

    @swahilitimes: Paka mmoja Nairobi, Kenya akutwa na virusi aina ya Felin Immunodeficieny Virus (FIV) ambavyo ni sawa na HIV. (1/2) pic.twitter.com/RHEb5sJ7ay -- shared via UberSocial UberSocial—The world's most popular full-featured Twitter app
  7. bobdizo

    Nauza video camera aina ya samsung

    nauza video camera samsung kwa bei nafuu sana used toka uingereza bei sh 300000 mpaka 280000 kwa mawasiliano 0713871199
  8. bobdizo

    Nauza printer ya kuprint picha hapohapo

    Nauza printer ya kuprint picha hapohapo kwa bei nafuu sana ni used imetoka uingereza. bei ni sh laki moja tu.. tazama picha hapo.
  9. bobdizo

    Mganga wa jadi toka sumbawanga

    MGANGA WA KIENYEJI KUTOKA SUMBAWANGA. 1.Nazuia Simu feki zisizimwe 2.Kurudisha Mtoto aliyefukuzwa UDOM 3.Kununua sukari kwa bei ya kawaida 4.Kuzuia usiumie kwa basi la mwendo kasi likipata ajali 5.Kurudishwa Bungeni kama uliibiwa kura zako Na kesi ikatupiliwa mbali 6.Kuona Bunge live 7.Kuzuia...
  10. bobdizo

    Sipati picha TENESCO ndio wangepewa tenda ya kuzima simu

    Hii tenda ya kuzima Simu wangepewa TANESCO! Shughuli ingeisha kitaaaaambo! [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
  11. bobdizo

    Nauza simu Tecno Phantom z mini A7 bei rahisi sana

    tecno phantom z mini A7..16gb memory.. 16 megapixel.. laki na 90 mpaka laki na 80 tu kwa anayetaka anichek kwa namba hii 0713871199
  12. bobdizo

    Hivi NIDA wataajiri wafanyakazi wapya baada ya wale wa mwanzo kumaliza mkataba?

    Jamani kwa anayejua hili au kusikia popote kuhusu NIDA kama wataajiri wafanyakazi wapya baada ya wale wa mwanzo kumaliza mkataba wao,niliona kwenye tv wakikabdhiwa zile mashine za vitambulisho vya kupigia kura na NEC.
  13. bobdizo

    Naomba kuuliza kuhusu hawa mbu wa sasa

    Hivi hawa mbu wa sasa ndio wale waloletwa Muhimbili wakawa wanafugwa kwa kazi maalum ya kuwala sijui au kuzuia mbu wa malaria wasizaane? Maana mtaani kumekuwa na ongezeko la mbu wakubwa kupita kiasi. Mwenye kujua anijuze please
  14. bobdizo

    Kazi imeanza leo daladala Kigamboni to Complex Kariakoo

    kazi imeanza leo ya daladala Kigamboni to complex kariakoo kupitia darajani
  15. bobdizo

    Mh tecno wajanja na hii j8 nusu bei mlimani city

    jamani huu ubunifu wa kupata wateja wengi au.. unapiosema jujachelewa na wewe njoo kuanzia saa 9 mlimani city upate j8 kwa nusu bei na unapochoma mafuta na kufika mambo yanakuwa ndivyo sivyo.. mara ooh ni wanachezesha bahati nasibu na mmoja tu ndio anapata bahati hiyo ya kununua hiyo simu kwa...
  16. bobdizo

    Safari za daladala toka Kigamboni kwenda maeneo ya jiji kupitia darajani

    Wadau hebu toeni maoni yenu hapa kuhusu hizi trip mpya za daladala
  17. bobdizo

    Kuna ajira gani alizosema Rais daraja la Kigamboni?

    Nani anayejua kuhusu ajira kwenye daraja la kigamboni? tulimsikia muheshimiwa raisi anasema wafanyakazi zaidi ya 300 watakuwepo kwenye daraja hili.. wahusika nasikia TANROADS na NSSF kwa anayejua lolote kuhusu hili atujuze pls
Back
Top Bottom