@swahilitimes:
Paka mmoja Nairobi, Kenya akutwa na virusi aina ya Felin Immunodeficieny Virus (FIV) ambavyo ni sawa na HIV. (1/2) pic.twitter.com/RHEb5sJ7ay
--
shared via UberSocial UberSocial—The world's most popular full-featured Twitter app
MGANGA WA KIENYEJI KUTOKA SUMBAWANGA.
1.Nazuia Simu feki zisizimwe
2.Kurudisha Mtoto aliyefukuzwa UDOM
3.Kununua sukari kwa bei ya kawaida
4.Kuzuia usiumie kwa basi la mwendo kasi likipata ajali
5.Kurudishwa Bungeni kama uliibiwa kura zako Na kesi ikatupiliwa mbali
6.Kuona Bunge live
7.Kuzuia...
Jamani kwa anayejua hili au kusikia popote kuhusu NIDA kama wataajiri wafanyakazi wapya baada ya wale wa mwanzo kumaliza mkataba wao,niliona kwenye tv wakikabdhiwa zile mashine za vitambulisho vya kupigia kura na NEC.
Hivi hawa mbu wa sasa ndio wale waloletwa Muhimbili wakawa wanafugwa kwa kazi maalum ya kuwala sijui au kuzuia mbu wa malaria wasizaane? Maana mtaani kumekuwa na ongezeko la mbu wakubwa kupita kiasi.
Mwenye kujua anijuze please
jamani huu ubunifu wa kupata wateja wengi au.. unapiosema jujachelewa na wewe njoo kuanzia saa 9 mlimani city upate j8 kwa nusu bei na unapochoma mafuta na kufika mambo yanakuwa ndivyo sivyo.. mara ooh ni wanachezesha bahati nasibu na mmoja tu ndio anapata bahati hiyo ya kununua hiyo simu kwa...
Nani anayejua kuhusu ajira kwenye daraja la kigamboni? tulimsikia muheshimiwa raisi anasema wafanyakazi zaidi ya 300 watakuwepo kwenye daraja hili.. wahusika nasikia TANROADS na NSSF kwa anayejua lolote kuhusu hili atujuze pls
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.