yaani ndio tutaona wakianza hizo trip kama kuna mapungufu watarekebisha nadhaniHebu ngoja!! Ukitoka Kigamboni kwenda "Kariakoo" ni kwamba daladala zitatumia Barabara ya Kurasini na kutokeza Chuo cha Diplomasia/JKT? Au ile barabara ishapanuliwa?!
In addition, ukifika Bandari kituo kinachofuata ni Keep Left kisha nduki hadi Machinga Complex! Keep Left hiyo ni ipi? Au KAMATA? Na kama ni KAMATA, hivi kuna eneo pale la ku-accomodate watu wa kutoka Kariakoo kwenda Kigamboni?!
Hizo nauli zipo sawa tu!
Wadau hebu toeni maoni yenu hapa kuhusu hizi trip mpya za daladala![]()