Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

bobdizo

Senior Member
Jun 28, 2014
137
50
d7bc442ae27636c447edb5b75242443f.jpg
 
Hahahahaaha na ile radio yenye Disco lights Hahahahahah
 
Zamani kaseti hizo zilikuwa zinatumika katika vibanda vya pombe ya kienyeji. Muuza pombe alikuwa anachukua hiyo tape alafu anarekodi vipindi vyote hadi taarifa ya habari, wateja wakishafika kuanza kulewa usiku unapozidikuwa mwingi anachukua redio yake na kutia tape, ngoma inaanza kulia taarifa ya habari ya saa mbili usiku, kwa kuwa pombe imesha controll celebrum walevi hudhani saa mbili usiku kweli na kuendelea kulewa.
 
Umenikumbusha mbali sana wakati huo betrii zikiisha hazitupwi.
Muuliza swali kauliza swali techinical sana. Sababu majibu yake lazima yatokane na mikondo miwili. Yaani historia pa1 na sayansi na teknolojia.
Kanda,tape cjui nn,sawa lakin zilitumika miaka gani,ubora wake na ubaya wake kabla ya cds ambazo nazo tayari zimepitwa na wakati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom