Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

bobdizo

Senior Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
137
Reaction score
50
d7bc442ae27636c447edb5b75242443f.jpg
 
Aurus Mabele uyoooooo
niliharibu kanda za dingi kwa kurekodi nyimbo za juma nature hasa hasa mtoto idi.
hahahaha kweli unachukua kanda unarekodi nyimbo zako mwenye kanda siku anataka kusikiliza akiweka anasikia nyimbo hazielewi... hahahaha noma sana
 
Umenikumbusha mbali sana wakati huo betrii zikiisha hazitupwi. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu hizo mbona ninazo hadi leo hii natumiaga
1469373918037.jpg

Na redio yake ninayo bado
 
hahahaha kweli unachukua kanda unarekodi nyimbo zako mwenye kanda siku anataka kusikiliza akiweka anasikia nyimbo hazielewi... hahahaha noma sana
ebana eeh ilikua shida enzi izo
WAZAZI WATUSAMEHEE tu
 
hahahaha kweli unachukua kanda unarekodi nyimbo zako mwenye kanda siku anataka kusikiliza akiweka anasikia nyimbo hazielewi... hahahaha noma sana
haka katabia alikuwa nako mwanangu. Unachukua kanda Ya dini unategemea kusikia Gospel hee unasikia "Salome juu Ya kaburi lako naliaa aah"
 
Zamani kaseti hizo zilikuwa zinatumika katika vibanda vya pombe ya kienyeji. Muuza pombe alikuwa anachukua hiyo tape alafu anarekodi vipindi vyote hadi taarifa ya habari, wateja wakishafika kuanza kulewa usiku unapozidikuwa mwingi anachukua redio yake na kutia tape, ngoma inaanza kulia taarifa ya habari ya saa mbili usiku, kwa kuwa pombe imesha controll celebrum walevi hudhani saa mbili usiku kweli na kuendelea kulewa.
 
Umenikumbusha mbali sana wakati huo betrii zikiisha hazitupwi. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Muuliza swali kauliza swali techinical sana. Sababu majibu yake lazima yatokane na mikondo miwili. Yaani historia pa1 na sayansi na teknolojia.
Kanda,tape cjui nn,sawa lakin zilitumika miaka gani,ubora wake na ubaya wake kabla ya cds ambazo nazo tayari zimepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom