Pole sana mkuu,
Never lose hope, mda wako utafika!
Endelea na mapambano bila kuchangua kazi cha msingi usibweteke mtt wa kiume,
niliuzaga matunda, nilipiga saidia fundi, nikawa nasajil laini kwa alama za vidole & nikajitolea kama mwalimu kabla ya kupata kijimwangaza kdg.
One day yes!
Mimi nilichoelewa hapa ni kuwa uliambiwa peleka cv paleee, kwahyo ulivofika ni kusalimiwa na kujuliwa hali ya home tu.
Naafikiana na ww mkuu, ofisi nyng hr anapokea mtu kutoka kwa mtu anaemfahau au kupewa oda. Uwa najiulizaga sana sijui ni sababu za kiusalama au kujuana tyu
Nimewai itwa mara moja nikapiga written then nkapga oral tukashindwana
Lakini kabla ya hapo niliwai pokeaga sms ya kitapeli, alidai niliomba kazi wanapitia cv yng ni nzuri so nitume pesa anipitishe then mshahara wa kwanza atakata 500k afu alidai salary ni 1.8m cm hapokei, ile kampuni niigugo...
Habari wakuu,
Kwa huu upepo wa uchaguzi mwaka huu pesa za kugharamia uchaguzi zinazotoka katika kodi zetu bora zitumie kuajiri vijana waliopo mitaaani toka 2015 au ziongeze mishahara tu at least tutakuwa tumezitendea haki.
By the way hongereni CCM kwa ushindi wa kishindo.
CCM chaguo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.