Saashisha Elinikyo Mafuwe ni nani?

Hata maisha yanataka usiwe na aibu kwenye Jambo linalohusu maslai na mustakabali wako.


Mkei atembee na ndugu yako sebuleni mbele ya watoto kwasababu ya maslai yake ya nyege asiwe ata na aibuu??


Tatizo linalo turudisha nyuma waafrica Ni ubinafsi. Ukiwa unanufaika na utawala ata wenzako wanaokuzunguka milion+ wakiwa wanaumia utaendelea kukombatia utawala kwasababu unanufaika.

Wagombania Uhuru wangekuwa hivyoo mpaka leo biashara ya utumwa isingeisha.

Lini mbunge au mwana CCM alishawai kushauri wafanyakazi wapandishiwe mishahara? UBINAFSI KULINDA UGALI WAKE.

AFRICA KUENDELEA TUNA KAZI KUBWA.
 
Ni Mtanzania Mzalendo aliyemtoa mwenyekiti hodhi ambaye alitaka kuuaminsha umma ndani ya saa 72 angekuwa PM wa nchi makini kama hii..Tunamshukuru sana huyu kijana kwa kuuangusha mbuyu.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wamekamatwa Na Sandarusi Za Kura Fake Mamlaka Kimya

Hivyo ni viroba vya mawe ya kupondea vile vichwa saba vya lile joka linaloitafuna Tanzania chini kwa chini kama moto wa mapumba. Joka hilo linaitwa maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Matokeo haya ya uchaguzi kwa kadiri ya navyo tujia pasi shaka joka hili na vifaranga vyake wamepelekewa ujumbe mzito.

Amiri Jeshi Mkuu na Mh Rais JPM katika uchaguzi huu na amini ndani ya serikali na vyombo vyake umewaona wapiganaji na wapambanaji walio wa mkono wako wa kuume. Wapambanaji ambao ukisema unakiu wako tayari kama wale makomandoo wa Mfalme Daudi enzi zile. Wako tayari kumwaga damu na hatakutoa uhai wao ili waende wakateke maji katika kisima kile kilichoko chini na katikati ya ngome ya majeshi ya adui wakuletee ukate kiu yako.

Kuanzia jana nimegundua akili kubwa itatawala siku zote na Tanzania inao wazalendo walio kunywa maji ya bendera ya nchi yao haikupungukiwa hili. Hongera sana kwenu wazalendo.

Tusubiri tume wamalizie kurangaza matokeo ambayo kwa dalili zote yanajulikana kilichobakia ni taratibu tu. Na baada ya hapo Mh Rais JPM pamoja na wanaokushauri mtuundie timu ya uongozi wa Tanzania " The team of leadership which will operate in one Heart and Brain"
 
Mimi naishi na principle zangu... If I can't fight them I always join them.


Huo ndo UBINAFSI MKUU. na ndo ugonjwa unaotusumbua.

Na huo usemi walianzisha mabeberu ili waendelee kututawala. Fikiri kwa mapana na maslai ya inchi Kuna watu wanaumia na wataendelea kuumia, ukiwa unakula kuku fikiri Kuna watu ata miogo ya miatano wanakosa. Join them KUENDELEA kumuumiza huyuu mnyonge?
 
Jamaa alkua Tume ya Madini Pale Kijijini Dodoma Ni Jirani yangu apa Machame Uduru Kama unaenda kwa Tajiri Marehemu Mengi Ova!..kama kuna kingine wataka njoo
Alizaliwa wapi? Ana familia? Amefanya kazi wapi na wapi? Kasoma Shule/Chuo gani?
 
Huyu jamaa alikuiwa mwalimu wa Sekondari Halmasauri ya Jiji Mwanza
Akaenda kusoma Masters ya Public Administration UDOM
Then akapata ajira ya kimagumashi ya kuwa afisa tarafa huko Geita Tarafa ya Geita mjini kama mtakumbuka kuna kipindi waliajiriwa maafisa tarafa wengi wana CCM kimagumashi bila kufanyiwa usahili sekretarieti ya ajira.
Akiwa huko Geita akabadilisa cheo (recatecorization) na kuwa Afisa Tawala ofisi ya DC Geita,
Baadae akahamisiwa tume ya madini kama afisa tawala.
Jamaa hana uwezo wa kwa namna yeyote kumzidi Mbowe kimsingi ni figisufigisu tu imefanyika.
Mnatakiwa kufahamu kwenye uchauzi kwenye nchi zetu hizi mwenye nguvu ni anayetangaza matokeo na wala sio waliopia kura,
Ndio maana mimi sikuhangaika hata kupia kura kwani kwa aina ya hawa wakurugenzi jinsi walivyochaguliwa nilijua kabisa nini watatangaza.
Upuuzi mtupu uliofanyika
Asante kwa taarifa angalau zitasaidia kuweka kwenye profile yake
 
Yaaani akawa mwalimu wa sekondari kisha akaenda kusoma MPA akahitimu alaf unasema hana uwezo??, sawa, akawa Afisa Tarafa kisha Afisa Tawala tena ugenini, bado humuoni ni jembe?, Akapanda hadi Tume ya madini. Huyo ni MTU sahihi kabisa. Haya leta profile ya Mbowe tulinganishe tuone nani hafai kuwa mbunge wa Hai
 
Huyu jamaa alikuiwa mwalimu wa Sekondari Halmasauri ya Jiji Mwanza
Akaenda kusoma Masters ya Public Administration UDOM
Then akapata ajira ya kimagumashi ya kuwa afisa tarafa huko Geita Tarafa ya Geita mjini kama mtakumbuka kuna kipindi waliajiriwa maafisa tarafa wengi wana CCM kimagumashi bila kufanyiwa usahili sekretarieti ya ajira.
Akiwa huko Geita akabadilisa cheo (recatecorization) na kuwa Afisa Tawala ofisi ya DC Geita,
Baadae akahamisiwa tume ya madini kama afisa tawala.
Jamaa hana uwezo wa kwa namna yeyote kumzidi Mbowe kimsingi ni figisufigisu tu imefanyika.
Mnatakiwa kufahamu kwenye uchauzi kwenye nchi zetu hizi mwenye nguvu ni anayetangaza matokeo na wala sio waliopia kura,
Ndio maana mimi sikuhangaika hata kupia kura kwani kwa aina ya hawa wakurugenzi jinsi walivyochaguliwa nilijua kabisa nini watatangaza.
Upuuzi mtupu uliofanyika
Acha chuki binafsi Interview alifanya chuo cha uhasibu kurasini . Lete CV yake kamili na ulete CV ya Mbowe,kijana upstairs Yuko vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom