Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 400
Habari wana JF,
Mimi ni miongoni mwa vijana tunaotuma maombi ya ajira kwenye kampuni za SBL kupitia mfumo wao wa maombi ya ajira. Naomba mnijuze kama mnajua
1. Ni muda gani unaitwa kwenye interview tangu deadline ipite ?
2. Je kuna njia nyingine ya utumaji wa nafasi ya kazi , mfano kupitia postal ?
3. Unanishauri nini ili niitwe kwenye interview ??
KARIBUNI .........
Mimi ni miongoni mwa vijana tunaotuma maombi ya ajira kwenye kampuni za SBL kupitia mfumo wao wa maombi ya ajira. Naomba mnijuze kama mnajua
1. Ni muda gani unaitwa kwenye interview tangu deadline ipite ?
2. Je kuna njia nyingine ya utumaji wa nafasi ya kazi , mfano kupitia postal ?
3. Unanishauri nini ili niitwe kwenye interview ??
KARIBUNI .........