Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,027
- 1,534
- Thread starter
- #41
Wanayajua mkuu, tena wakiwepo zanzibar wanayatumia muda wote.Nina wasiwasi Mwinyi na Samia kama wanajua maneno haya,mbona hawaonekani wakichanganya hata Sikh 1.
Wanayajua mkuu, tena wakiwepo zanzibar wanayatumia muda wote.Nina wasiwasi Mwinyi na Samia kama wanajua maneno haya,mbona hawaonekani wakichanganya hata Sikh 1.
kwa nn kuku wa kisasa aitwe peduu?Hakuna Big G kuna ubani, hakuna nyama kuku wa kisasa kuna peduu, kwenye daladala hakuna kushusha kuna kuweka, hakuna kukata kona kuna kupinda, hakuna mzunguko kuna duara,
Zanzibar hakuna bunge ila wabunge wapo.Salaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
Sasa inaitwa kilicho ama kilichokubuhu, kibuluu ni jina la miaka ya 90-2000Kibuluu hahahahahahahah
Peduu ni wale kuku ambao wanapimwa kwa kilo kwenye mabucha... Hao wa kisasa ambao bado wazima wanaitwa broila.
Zanzibar hakuna mbunge?hapo umetokota fanya research upya dogo usikurupuke kama unakojoa njeSalaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
PapaMbunye inaitwaje huko?
karibu mkuu, Zanzibar yetu sote.December likizo huko Znz
Wapi pazuri kutembelea ambapo hata ukikaa wiki hivi huboeki?karibu mkuu, Zanzibar yetu sote.
Zanzibar kuna mbunge na muwakilishi kama hujui, yaani kajimbo kamoja ambako hakazidi watu elfu 5, kina mbunge na muwakilishiSalaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
Salaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
Watu wa bara wamekaa kuangalia kibuluuSalaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
wabunge ni watumishi wa bunge ambalo liko bara kwa ajili yakuiwakilisha Zanzibar, si Watumishi wa SUK. Naamini wenye uelewa wamenielewa.Zanzibar hakuna mbunge?hapo umetokota fanya research upya dogo usikurupuke kama unakojoa nje