Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Tatizo kubwa kwa upande wako blaza kwangu sio tatizo ni solution

Nilipoona hadi wanaume wa upinzani wanamtetea Tundu kuhusu matamko yake yaliyohusu ushoga niliiona taabu kubwa ambayo inaenda kuupata upinzani wa nchi hii
Wapinzani hawana tone la uzalendo, wanaitaka dola iwe kwa gharama yoyote Ile..... iwe kuuza nchi au kuanzisha Kizazi cha mashoga na wasagaji wao powa tuu
 
Nilipoona hadi wanaume wa upinzani wanamtetea Tundu kuhusu matamko yake yaliyohusu ushoga niliiona taabu kubwa ambayo inaenda kuupata upinzani wa nchi hii
Wapinzani hawana tone la uzalendo, wanaitaka dola iwe kwa gharama yoyote Ile..... iwe kuuza nchi au kuanzisha Kizazi cha mashoga na wasagaji wao powa tuu
Kamanda wao anahutubia sahv anaomba tu msaada toka kwa mashoga wa huko nje
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia:mad::mad::mad:

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.

Pole mliambiwa wekeni akiba ya maneno hamkutaka kusikia

Jifunzeni kuacha kufikiri kwa mihemko.
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia:mad::mad::mad:

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Na bado, unaweza kufa na tulimwambia Bob Amsterdam asituletee ujinga na kibaraka wake
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia:mad::mad::mad:

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Ukiambiwa sasa ndugu mkristo kaza roho ndo hii maana bwana wako tayar yu msalaban na hukumu ya pilato imepita hvo n kukaza moyo na kuifata njia ya msalaba tu mpaka kalvario...
 
Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie
Nyie mlifikir mtashinda kwa Lisu kwenda kununua nyanya kariakoo?
Au mlifikiri mtashinda kwa kusema JPm anachuki na wanawake weusi?
 
Back
Top Bottom