Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,817
- 15,436
Wa CUF huko Ntwara vijijini kambwaga Hawa Ghasia wa koroshoDuuh kwa hiyo mpaka sasa hakuna mpinzani yoyote kachukua jimbo?
Wa CUF huko Ntwara vijijini kambwaga Hawa Ghasia wa koroshoDuuh kwa hiyo mpaka sasa hakuna mpinzani yoyote kachukua jimbo?
Wamemtoa Kafara Hawa GhasiaYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Ukimwi utawauwaWenzenu CCM walipiga kampeni za shuka kwa shuka, kitanda kwa kitanda. Nyie mkabaki kupiga kampeni hapa JF ndio matunda hayo.
Husifadhaike sana tafadhali, maana ata wangeshinda upande wa pili mambo yangekuwa ni yale yale. Wanasiasa ni waongo sana, hawastahili upendo wako wa dhati.Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie
haha tutulie sio! tupigwe sindano za masaaNi kawaida ya penicillin injection...Vumilieni dawa iingie huku mkitambua CCM bado ipo sanaaa.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Tatizo kubwa kwa upande wako blaza kwangu sio tatizo ni solution
Kamanda wao anahutubia sahv anaomba tu msaada toka kwa mashoga wa huko njeNilipoona hadi wanaume wa upinzani wanamtetea Tundu kuhusu matamko yake yaliyohusu ushoga niliiona taabu kubwa ambayo inaenda kuupata upinzani wa nchi hii
Wapinzani hawana tone la uzalendo, wanaitaka dola iwe kwa gharama yoyote Ile..... iwe kuuza nchi au kuanzisha Kizazi cha mashoga na wasagaji wao powa tuu
Yuko live wapi🤣🤣🤣🤣🤣Kamanda wao anahutubia sahv anaomba tu msaada toka kwa mashoga wa huko nje
Yutubu hukoYuko live wapi🤣🤣🤣🤣🤣
Aongee inglishi ili wafuasi wake wamueleweYutubu huko
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Hakuna lolote linalochemkaDo not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Na bado, unaweza kufa na tulimwambia Bob Amsterdam asituletee ujinga na kibaraka wakeYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Ukiambiwa sasa ndugu mkristo kaza roho ndo hii maana bwana wako tayar yu msalaban na hukumu ya pilato imepita hvo n kukaza moyo na kuifata njia ya msalaba tu mpaka kalvario...Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Nyie mlifikir mtashinda kwa Lisu kwenda kununua nyanya kariakoo?Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie
Arusha mjini imeishaaa hiyoTunasubiri kawe na arusha mjini ili sisi CCM tumalize kazi
Wow! Hawa Ghasia kapigwa,Wa CUF huko Ntwara vijijini kambwaga Hawa Ghasia wa korosho