ManDizzo
Senior Member
- Jun 25, 2014
- 141
- 130
Habari wakuu,
Kwa huu upepo wa uchaguzi mwaka huu pesa za kugharamia uchaguzi zinazotoka katika kodi zetu bora zitumie kuajiri vijana waliopo mitaaani toka 2015 au ziongeze mishahara tu at least tutakuwa tumezitendea haki.
By the way hongereni CCM kwa ushindi wa kishindo.
CCM chaguo la Watanzania.
Kwa huu upepo wa uchaguzi mwaka huu pesa za kugharamia uchaguzi zinazotoka katika kodi zetu bora zitumie kuajiri vijana waliopo mitaaani toka 2015 au ziongeze mishahara tu at least tutakuwa tumezitendea haki.
By the way hongereni CCM kwa ushindi wa kishindo.
CCM chaguo la Watanzania.