Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 325
- 481
Mavyuma wenu ameukubali mziki wa JPMView attachment 1608976
Mavyuma wenu ameukubali mziki wa JPMView attachment 1608976
1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenye jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa Rais wa mkoa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwahiyo anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasiojua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
Hayo majimbo yamechezewa na upinzani kwa muda mrefu, Wananchi hatuwataki tena Chadema
Tutawachagua CCM
Tunaanza lini kuisoma namba Rasmi ?Utabili wako umetimia mkuu
Lager yetuRafiki yangu hujambo
Unaendelea kutiki bossBado unapumua tu yani ningeweka hata pesa leo ningeishi vizuri
Msigwa katetea jimboiringa sijasikia bado tarime mabomu now yanalindima...
😂😂😂🙌🙌🙌 mkuu japo kwangu ilikuwa ngumu kumeza....Kama ni kubet mpaka sasa mkeka wangu unapumua
Moshi mjini ✔️
Mbeya mjini ✔️
Hai ✔️
Hayo majimbo yamechezewa na upinzani kwa muda mrefu, Wananchi hatuwataki tena Chadema
Tutawachagua CCM
OngezeaKama ni kubet mpaka sasa mkeka wangu unapumua
Moshi mjini
Mbeya mjini
Hai