Search results

  1. Alwaz

    Meli ya misaada kutoka Spain imetia nanga Gaza.Sasa bandari anayojenga Marekani ina haja gani?

    Inawezekani ile wanayojenga ni oil rig na wala si bandari. Askari karibu 1000 wametumwa kwenda kufanya kazi hiyo na ndani yake kuna mainjinia wengi. Inashangaza sana kumbe meli na boti za kutosha zinaweza kutia nanga eneo hilo na kushusha chochote kile wao wameshikilia kujenga bandari.
  2. Alwaz

    Baada kuwa gereza kubwa la wazi,Gaza imegeuka ni kaburi la sheria za kibinadamu.Joseph Borell ameliona hilo.

    Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5 Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu. Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka...
  3. Alwaz

    Kumbukumbu ya Mfungo wa Ramadhani 3: Futari ya Ally Sykes na Sinia la Kunde za Bibi Titi

    Hizo mada kama ingekuwa ni nchi zenye kujali basi zingetengenezea muvi.
  4. Alwaz

    Rais Samia, tusifukie Mahindi na Maharage ya Marekani, naomba tuyapeleke Haiti

    Kwanini asiwape raia zake wanaolala barabarani.Au kwa vile hawapendi chakula hiki.
  5. Alwaz

    Meli ya misaada kutoka Spain imetia nanga Gaza.Sasa bandari anayojenga Marekani ina haja gani?

    Kuna ukafiri na ubinadamu.Na mara nyingi ubinadamu mwishowe hujenga udugu wa kiislamu.Kwa maana hiyo kafiri mwenye kuonesha ubinadamu ni rafiki wa waislamu. Kuna mambo hatujakatazwa kushirikiana na makafiri na hata kuna mengine tumehimizwa tuwatendee wema. Upande wa historia ambayo hao viongozi...
  6. Alwaz

    Chansela Scholtz wa Ujerumani asema gharama ya kupambana na Hamas hailingani na umuhimu wa lengo. Hawezi kukaa kimya kuona watu wanakufa namna ile

    Kumbe ni siasa za hadaa. Mimi kinachoniuma zaidi ni ukimya wa waarabu.Hebu tupe na tafsiri yako juu ya hilo.
  7. Alwaz

    Mwanafunzi mmoja afariki wengine hali tete wilayani Kilolo, Iringa baada ya kula futari ya msaada

    Hatuwezi kujua kwa uharaka ule alioandika.Na uwezekano mkubwa ni uongo kabla hakujatolewa uthibitisho na chanzo cha kitabibu na kisheria.
  8. Alwaz

    Chansela Scholtz wa Ujerumani asema gharama ya kupambana na Hamas hailingani na umuhimu wa lengo. Hawezi kukaa kimya kuona watu wanakufa namna ile

    Kiongozi wa Ujerumani, chansela Scholtz amemshushua Benjamin Netanyahu hadharani hapo jana wakati wa mjumuisho wa ziara yake nchini humo mbele ya waandishi wa habari. Kauli zake ni kuungana na viongozi wengi wa kimataifa ambao wameingiwa na huruma japo hatua wanazochukua haziendani na haja ya...
  9. Alwaz

    Mwanafunzi mmoja afariki wengine hali tete wilayani Kilolo, Iringa baada ya kula futari ya msaada

    Kilichotakiwa kuandikwa ni kuwa kuna wanafunzi wamekufa .inakisiwa walikula chakula chenye sumu. Baada ya uchunguzi kufanyika na polisi kutoa ripoti ingefuata taarifa nyengine kuwa walidhuriwa na nini. Yeye kwa haraka ameshajua kila kitu na hiyo ni kwa vile wanafunzi walikuwa ni waislamu na...
  10. Alwaz

    Meli ya misaada kutoka Spain imetia nanga Gaza.Sasa bandari anayojenga Marekani ina haja gani?

    Hata na wewe hujatumia akili vizuri kuwaza juu ya ujenzi wa hiyo bandari. Kilichotakiwa ni kutoa misaada kwanza kabla kufikiria kujenga bandari bila kutoa msaada. Mbona wanaotaka misaada ifike wameshafikisha bila hata kutumia hiyo bandari. Hilo ndilo tulilokuwa tunalijadili.Sio umuhimu wake siku...
  11. Alwaz

    Alquds wadondosha ndege ya Israel jijini Gaza. Mapigano bado yaendelea katikati ya jimbo hilo

    Tafsiri ya kushinda vita na kushindwa kwenye vita vya Gaza haikai sawa kwa mtu yeyote mwenye kufuatilia hili janga.
  12. Alwaz

    Live from Kinondoni Makaburini: Mazishi ya Mwana JF, Mzalendo Sanctus Mtsimbe

    Kwa vile mumefanana kwa mambo mengi.Usisahau kupima hayo maradhi yake ya terminal . Muhimu zaidi hata ukiwa hutaonekana na ugonjwa huo nakunasihi umrithi ushujaa wake kwa maradhi yoyote yatakayokupata kwani ushujaa katika maradhi ni zawadi bora kwa wanadamu, Sisi waislamu tunatakiwe tufe na...
  13. Alwaz

    Alquds wadondosha ndege ya Israel jijini Gaza. Mapigano bado yaendelea katikati ya jimbo hilo

    Ndege isiyo na rubani au droni imedondoshwa leo kwenye jiji la Gaza ambalo jeshi la Israel lilitangaza zamani kulidhibiti eneo hilo. Habari hizo zimetolewa na msemaji ya kundi la Alquds ambalo ni tawi la kijeshi la harakati za Islamic jihad. Droni hiyo kwa mujibu wa aljazeera iliyowanakili...
  14. Alwaz

    Trump asema damu itamwagika asiposhinda urais Novemba

    ufafanuzi umetolewa na hiyo post hapo juu. maana ni hiyo hiyo.
  15. Alwaz

    Mwanafunzi mmoja afariki wengine hali tete wilayani Kilolo, Iringa baada ya kula futari ya msaada

    Mimi nimejaribu kuwa na fikra kama zako lakini aliyeyakuza ni huyo daktari au nesi wa hiyo hospitala ambaye ameona ataje futari,msikiti,jumuiya ya kiislamu.
  16. Alwaz

    Mwanafunzi mmoja afariki wengine hali tete wilayani Kilolo, Iringa baada ya kula futari ya msaada

    India watu wanakufa kwa mamia kwenye karamu wala si weusi na hawajaacha kula biriani na kachori zao siku za sherehe.
Back
Top Bottom