Inawezekani ile wanayojenga ni oil rig na wala si bandari.
Askari karibu 1000 wametumwa kwenda kufanya kazi hiyo na ndani yake kuna mainjinia wengi.
Inashangaza sana kumbe meli na boti za kutosha zinaweza kutia nanga eneo hilo na kushusha chochote kile wao wameshikilia kujenga bandari.
Muda mrefu ilielezwa kuwa Gaza ndio gereza kubwa la wazi duniani lililowafungia watu karibu milioni 2.5
Baada ya hilo mshauri wa mambo ya nje wa jumuiya ya Ulaya,Joseph Borell amesema eneo hilo pia linapaswa kuitwa ni kaburi la sheria walizojiwekea binadamu.
Uchaguzi wake wa jina hilo bila shaka...
Kuna ukafiri na ubinadamu.Na mara nyingi ubinadamu mwishowe hujenga udugu wa kiislamu.Kwa maana hiyo kafiri mwenye kuonesha ubinadamu ni rafiki wa waislamu.
Kuna mambo hatujakatazwa kushirikiana na makafiri na hata kuna mengine tumehimizwa tuwatendee wema.
Upande wa historia ambayo hao viongozi...
Kiongozi wa Ujerumani, chansela Scholtz amemshushua Benjamin Netanyahu hadharani hapo jana wakati wa mjumuisho wa ziara yake nchini humo mbele ya waandishi wa habari.
Kauli zake ni kuungana na viongozi wengi wa kimataifa ambao wameingiwa na huruma japo hatua wanazochukua haziendani na haja ya...
Kilichotakiwa kuandikwa ni kuwa kuna wanafunzi wamekufa .inakisiwa walikula chakula chenye sumu.
Baada ya uchunguzi kufanyika na polisi kutoa ripoti ingefuata taarifa nyengine kuwa walidhuriwa na nini.
Yeye kwa haraka ameshajua kila kitu na hiyo ni kwa vile wanafunzi walikuwa ni waislamu na...
Hata na wewe hujatumia akili vizuri kuwaza juu ya ujenzi wa hiyo bandari.
Kilichotakiwa ni kutoa misaada kwanza kabla kufikiria kujenga bandari bila kutoa msaada.
Mbona wanaotaka misaada ifike wameshafikisha bila hata kutumia hiyo bandari.
Hilo ndilo tulilokuwa tunalijadili.Sio umuhimu wake siku...
Kwa vile mumefanana kwa mambo mengi.Usisahau kupima hayo maradhi yake ya terminal .
Muhimu zaidi hata ukiwa hutaonekana na ugonjwa huo nakunasihi umrithi ushujaa wake kwa maradhi yoyote yatakayokupata kwani ushujaa katika maradhi ni zawadi bora kwa wanadamu,
Sisi waislamu tunatakiwe tufe na...
Ndege isiyo na rubani au droni imedondoshwa leo kwenye jiji la Gaza ambalo jeshi la Israel lilitangaza zamani kulidhibiti eneo hilo.
Habari hizo zimetolewa na msemaji ya kundi la Alquds ambalo ni tawi la kijeshi la harakati za Islamic jihad.
Droni hiyo kwa mujibu wa aljazeera iliyowanakili...
Mimi nimejaribu kuwa na fikra kama zako lakini aliyeyakuza ni huyo daktari au nesi wa hiyo hospitala ambaye ameona ataje futari,msikiti,jumuiya ya kiislamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.