Wewe umezidi tena chuki na Hamas hata penye ukweli.
Kuna video pia na maafisa wa UN wameshuhudia.
Na dalili zote zipo kwamba watekelezaji ni jeshi la kiyahudi la IDF ambao ndio waliokuwa wamezishikilia hospitali hizo kwa muda mrefu baada ya kuzivamia.
Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.
Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na...
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza.
King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
Wacha kuwafanyie kejeli Hamas ambao unajua hawana HIMARS wala ndege hata 1 ya kivita.
Hapo walipofika na bila kusalimu amri ni sehemu ya kutimiza ahadi yao.
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas.
Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata mateka wote wanaoendelea kushikiliwa na Hamas.
Kulikuwa na baadha ya nukta pia viongozi wa Hamas...
Mbona vyombo vya usalama vya Israel vimekubali.Wewe bado unapinga.
Hamas Leader Yahya Sinwar Emerges from Gaza Tunnels: Israeli Intelligence Confirmation
Kuna vitu vinachanganya sana katika kulinganisha uchumi wa nchi na maisha ya watu.
Nashangaa sana kati ya Tanzania na Kenya.Ukienda Kenya utagundua wanaishi maisha duni sana kulinganisha na watanzania na hata miji yao haina ubora kuliko Dar es salaam.Lakini bado tu wametuzidi sana katika GDP.
Kuna kitu nimekifahamu kuhusu kupanda kwa Morocco kiuchumi.Ni kama vile Kenya inavyonyonya utalii wa Tanzania kwa kuutangaza mlima Kilimanjaro.
Morocco ni soko kubwa la dhahabu za Afrika Magharibi.Hii ni kutokana na nchi za Afrika Magharibi kufuata watalii wanaoingia Morocco kwa wingi sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.