Kichwa cha habari chahusika,
Ninaomba kujuwa ni vitu gani unatakiwa kuwa navyo ili uweze kuanzsha kipindi na steps zake ni zipi na gharama zake pia ni zipi?
Asanteni sana.
Habar wana jf mm ninawazo la kuanzisha biashara yangu ambayo ita husika hasa na kuanzisha timu yangu ya mpira wa miguu na kuimiliki lakini timu yenyewe ni zile za michangani wakuu
jee kama tunavyojuwa biashara yoyote ni lazima kuwe na faida jee kwa mitazamo yenu wakuu kwa umiliki huu wa timu...
Habar wana jf ninaomba kufahamu hivi kwa chuo cha Ardhi university hakuna option ya mtu kuweza ku apply chuo moja kwa moja chuoni bila kupitia tcu,hii ni kwa wale walio maliza diploma kutoka vyuo vingne na ambao GPA zao zpo chini kabisa ambazo hazifai kuomba kupitia tcu
2: Na je hapo ardhi...
Habar wana jf ninaomba kufahamu hivi kwa chuo cha Ardhi university hakuna option ya mtu kuweza ku apply chuo moja kwa moja chuoni bila kupitia tcu,hii ni kwa wale walio maliza diploma kutoka vyuo vingne na ambao GPA zao zpo chini kabisa ambazo hazifai kuomba kupitia tcu
2: Na je hapo ardhi...
Habar wana jf, ninaomba kuuliza unapotumia kondomu wakati wa kufanya mapenz na mwenza wako jee unapunguza uwezekano wa kupata ukimwi au kama msichana ana ukimwi na ww pia waweza kuupata hata kama ulitumia kondom?
Nasubir majibu yenu,nashukuru saana
Habar wana jf, Kuna mtu aliniomba ushauri kuwa anataka akasome inshu za MASONRY & BRICKLAYING pale veta ambayo ni short course hyo course inatolewa hapo VETA kwa bahati mbaya mm sio mjuzi wa hiyo kitu hapo juu,jee kwa anaefahamu unamshaur nn huyu mtu maana yy anapenda mambo ya kujenga na kila...
Habar wana jamii forum mm nina ndugu yangu anataka kujenga nyumba zake maeneo ya bagamoyo na kigamboni nyumba zake anahitaji iwe na vitu vifuatavyo
1: vyumba vitatu
2: bathroom and toilet
3: sitting room
4: dining room
Vitu tunavyoitaji kuvijuwa hapo ni vifuatavyo
1: kwa ukubwa huo wa nyumba...
Habar wana jamii forum mini ni muhitimu wa chuo sasa kutokana na ugumu wa kupatikana kwa ajira ninaomba kwa mwenye uwezo wa kunikopa shilingi million moja na sabini then tutakubaliana kutokana na mkataba tutakao wekeana
Vitu vinavyo hitajika kwenye hyo biashara ni vifuatavyo;
Laini ta tigo...
Yaani Tanzania hatuna tofauti yoyote na uingereza maana england mchezaji akicheza na kuperform mechi mbili au tatu tu ujuwe wana muita timu ya taifa hii falsafa ipo sawa sawa na tanzania mchezaji akionekana kwenye mechi mbili au tatu tu ujuwe lazima umkute timu ya taifa kuna mtu anaitwa Bellahno...
Habari wana JF naomba mwenye simu tajwa hapo juu Samsung galaxy S5 original au Samsung galaxy S5 clone, but samahani kama ni clone isiwe clone ya kiivyo nataka iendane na orijinal kdogo asanteni kama unayo tuma picha ya simu na bei yako asante kwa mara nyingne
Habar wana kijiji wenzangu wa jf nataka kuanza kufanya biashara juu ya vitu vya kike ndo maana naomba ushaur wenu hapa ni vitu gani wanawake wanavipenda kwa sasa na vpo kwenye fassion au hata kama havpo kwenye fassion ila vinanunuliwa saana na madada zetu
Nahitaji ushaur wenu asante saana
Habar wana kijiji wenzangu wa jf nataka kuanza kufanya biashara juu ya vitu vya kike ndo maana naomba ushaur wenu hapa ni vitu gani wanawake wanavipenda kwa sasa na vpo kwenye fassion au hata kama havpo kwenye fassion ila vinanunuliwa saana na madada zetu
Nahitaji ushaur wenu asante saana
Habar wana Jf gari tajwa hapo juu inauzwa na bei yake ni milion tatu (3000000)
Kwa aliye tayar kufanya biashara anitafute kupitia namba 0788562816
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Nissan MarchYear : 1998
Color : Red
Engine cap. : 998 cc ,
BroadrimsMakeNissanModelMarchCar typeSedanYear1998...
Habar wana JF mimi nina hitaji kununua mojawapo kati ya Laptop au Ipad je ni kipi kati ya hiki ni muhimu zaid ya mwenzie na naomba mnitajie huo umuhimu wake upo wap zaid?
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Habar wana Jf mm nina hitaji kununuwa kimojawapo kati ya Laptop au Ipad je ni kipi kati ya hiki ni muhimu zaid ya mwenzie na naomba mnitajie huo umuhimu wake upo wap zaid?
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Habar wana Jamiifrorums, Nauza simu tajwa hapo juu Huawei Ascend Y-210 kwa shilingi 100, 000/=
Tatizo la simu: Kioo kidogo kime crack but hakina bad effect
Kwa seriouz buyerz tuwasiliane ni-PM
Asanteni sana.
Habar wana jf mm ninataka niwe wakala wa mpesa,airtel money,tigo pesa na Luku lakini sijuwi gharama za hivi vitu plz kwa anaejuwa naomba anielekeze Mpesa gharama yake shilling ngapi,airtell money shilling ngapi gharama zaka,tigo pesa gharama zake kiasi gani na Luku gharama zake ni kiasi gani plz...
Habar wana JF mm nilikuwa na shida ya kufanya mtihani wa cisco kwa hyo nikaamuwa kudownload video za tutorial na kitabu cha ccna kipo complete sasa nilikuwa nahitaji kufahamu nitawezaje kufanya mtihani online nahitaji mnisaidie website na gharama za huo mtihani hadi napata hicho cheti nahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.