Hii ni kwa mashabiki wote wa huyu msanii wetu tuje tuungane kwa pamoja ww ni kama shabiki wa mr blue a.k.a baycer karibu kundini
Leo muda si mrefu saana nimetoka kuangalia official video ya wimbo wa PESA ndipo nikapata internal force ya kuja kuanzsha hii thread huyu bwana mdogo anajuwa si mchezo, heshima kwako baycer
Blue kichwa .......kuna marapper wanaandika mistari ya kulazimisha sana......Blue anafanya anachoweza kiasili ......ndio maana hapotei na hata Wakongwe tunamsikiliza .......Ndio maana nilimpa heshima FID Q pale alipoulizwa Rapper gani anafiti kufanya colabo na T.I kama akikubali colabo na kujibu..."Kama Mangwea angekuwa hai ndio angefaa lakini kwa tuliopo Mr.Blue ndio anafiti" akamalizia "Mr.Blue utafikiri kazaliwa unyamwezini kumbe ni wa hapa hapa Bongo,Mnyamwezi wa ukweli"
blu sjui alikosea wapi daah
Unajuwa ww kama binadamu lazima ujifunze kutokana na makosa kuna kipindi ndugu yetu alikuwa akipiga kile kitu cha Arusha na kuvuta maunga alikuwa anajistarehesha lakin baadae ukaja ukawa unamuharibu haikuwa shida mashabiki wake tuka mweka kitako tukamwambia huko unako kwenda dogo siko achana na upuuzi huo unaoufanya nampongeza saana kwa kusikiliza ushaur wa mashabiki wake akaachana na vile vitu sasa hivi amekuwa ni best rapper
Ngoja nami nianzishe special thread ya Best naso
Blue alikuwa zamani miaka ya 2004 mpaka 2008,hapo alikuwa Super Handsome madada walimshobokea sana ila sasa ile sura ya u-HB yote imeondoka kabakia wakawaida tu sura ya kiume,ila ana mtoto wa kiume shombe shome.