Natoa mfano jamani msinitafsiri vibaya kwa sababu huu mtandao unamajibu ya ajabu ajabu, Lakini ukweli njiwa ni ndege ambao wanaupendo wa dhati na ukweli.
[emoji117] Wanatembea pamoja
[emoji117] Popote wanaenda pamoja
Na mengine mengi kweli njiwa ni mfano bora duniani.
Chizi amefiwa na nduguye watu wote wakawa wanalia yeye ameinama tuu!
Jamaa wakamuliza wewe vipi humlili nduguyo?
Akajibu nalia ila nimeweka vibration [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani kuna mdudu (anafanana na mnyoo) anaye kaa kwenye mboga za majani pia huyo mdudu hafi kwa kupikwa unashauriwa kuosha mboga za majani kwa chumvi na maji ya uvuguvugu maana ni mdogo anaganda kwenye mboga hizo za majani kama konokono na ana umbo dogo ila akiingia tumboni anakuwa haraka...
Ukweli usemwe na kila mtu upenzi wake katika suala la watoto japo mungu anakupa mtoto anaemtaka yeye na ni majaliwa pia. Wewe unampenda mtoto wa jinsia gani na kwanini ??
[emoji7]Story[emoji117] TRUE HEART
[emoji7]Mtunzi [emoji117]Ochu ruvuly
[emoji112]Contact[emoji117] 0762374269
( sehemu 1 )
Ilikuwa ni asubuhi yenye baridi kali, mvua zenye upepo mkali zilitawala majira hayo. Ilikuwa ni furaha kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo kwani walizidisha shuka lingine na...
Wewe ni baba mwenye watoto watatu, siku moja ukiwa unaenda kazini njiani ukapata ajali, watu wema wakakupeleka hospital.
Unapata fahamu unajikuta upo hospital ukiwa juu ya kitanda wakati unajiuliza kimetokea nini daktari anakuja kuendeleza huduma, Ukamuuliza daktar kilichotokea kwako akasema...
Habari kuna rafiki yangu anaumwa ugonjwa huu leo imepita mwezi . Tumienda nae hospital wakampima wakasema ana minyoo ya aina mbili :-
[emoji117] MINYOO YA AMIBA
[emoji117] MINYOO YA KICHOCHO
Tume tumia dawa za minyoo hiyo lakini wapi haijasaidia kitu. Tukarudi tena wakampa dawa ya allergy...
Idadi ya wanawake wakatili wanaoua viumbe vilivyoridhiwa na mungu (kutoa mimba) inazidi kukua swali ni je sababu inayofanya watoe mimba ni kutokana na UGUMU wa MAISHA au WANAUME waliowapatia mimba hizo ?
Hivi mwanamke bora na mwenye unamjuaje ?
[emoji117] Kwa kumuangalia tu ;
[emoji117] Au kuna njia nyingine inayotumika ili kugundua kama ni mwanamke bora ?
Tatizo la ubakaji linazidi kukua kila siku watoto wenye umri mdogo wanabakwa na watu wazima tatizo huwa ni nini ? [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] <br />
Tatizo la ubakaji linazidi kukua kila siku watoto wenye umri mdogo wanabakwa na watu wazima tatizo huwa ni nini ? [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Inafahanika kwamba mapenzi ndio mzizi bora katika dunia na hakuna anaependa kusalitiwa. Sasa je katika mahusiano nani huwa anaanza usaliti kati ya MWANAMKE na MWANAUME ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.