HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
Tatizo la ubakaji linazidi kukua kila siku watoto wenye umri mdogo wanabakwa na watu wazima tatizo huwa ni nini ?
Genye..!
Daaaaaah umeona eeeehUpuuz na kujiendekeza tu aisee utasema tumelaaniwa muda mwengine.
Hiv unapataje hisia kwa mtoto mdogo Jaman kama sio siku ya mwisho kwenda moton bila rufaa
Mungu anawaona daaaaaahSijui hao wabakaji wanakua wagonjwa wa akili au laana zao tuu,manake wanawake walojaa tele unakwendaje kumbaka mtoto wa mwenzio bila ridhaa yake?
DaaaaahAkili Za magogoni Za Tanzania ya viwanda
Yaaan wajinga kabisaNdumba. Mganga anampa masharti magumu mteja wake baada ya kumpiga mpunga wa kutosha. So anamwambia kambake mtoto mdogo ukifanikiwa hilo utajiri upo mlangoni. Kumbe ndio anaingia mlango wa jela.
Labda wanabaka watoto ili wapate bk...
acha tuDaaaaaah umeona eeeeh
Mungu atawaadhbu hao mileleacha tu
amein for thatMungu atawaadhbu hao milele