Kuajiriwa inawezekana na ipo nchi nyingi duniani. Hulipwa mishahara na fedha huifadhiwa katika akaunti maalumu. Pia ni walipa kodi katika mataifa hayo.
Mfungwa anapomaliza kifungo na kurudi uraiani anakuwa kama mtoto. Hana kazi, hana mali na wakati mwingine hata utu wake huonekana tofauti. Anaweza kuonekana kama mhalifu kama wengine wengi ambao wakitoka jela huwa na sura za kutisha.
Huonekana si kitu. Hana mbele wala nyuma na waswahili husema...
Rushwa. Kila mmoja anapozungumza huona huonekana kama kitu kilichopo mbali sana naye. Mara nyingi inapozungumzwa rushwa inawahusu vigogo au watu walio na nyadhifa katika taasisi mbalimbali.
Inawezekana kuwa sahihi lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanajamii ndio wanaotengeneza viongozi...
Ukitazama kijuujuu utaona hawana sifa. Wapo ambao tunawaona legelege na wa hovyo kabisa...pengine utawala uliopita uliwalazimisha kuwa hivyo. Kwa usimamizi wa Magufuli naamini wanaweza kuwa watendaji wazuri. Rejea (jamii ya wala rushwa hupata viongozi wala rushwa)
Maskini serikali yangu imeshikwa pabaya. Ni aibu kusikia wanatetea eti wameweza kudhibiti rushwa. Labda hawajui hata hospitali ili upate panadol lazima utoe buku. Rushwa ndogondogo na kubwa zimewafikisha magamba hapa na sio kingine.
Nimewahi kupata tatizo hilo watakurudishia tu sema inachukua muda mpaka wajiridhishe kuwa ulituma kwa bahati mbaya kweli kwasababu kumekuwa na utapeli watu wanalipa halafu wanasema wamekosea.vumilia
Watu kama hawa ndio wasioitakia nchi mema, lolote litakalo tokea wataumia waliopo na si wao...nafikiri waliache hili suala na wao waendelee kutafuta maisha huko mbele ya safari
I do agree that kuna wakati tunatakiwa kudanganya ili mambo yaende sawa but kuna watu wanaishi uongo yaani kila litokalo mdomoni mwake ni la uongo sasa huyu nae sijui yupo kwenye kundi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.