Let us be honest and realistic, hata kama ruling party ingekuwa CHADEMA, matatizo yote yasingeisha kwa wakati mmoja. Cha msingi ni kwamba, management ya chuo ishughulikie tatizo hilo kutoka kwenye bajeti yake.
Let us be realistic and honest, hata kama ruling party ingekuwa CHADEMA, matatizo yote hayawezi kuisha kwa wakati mmoja. Kilichopo hapo, management ishughulikie tatizo na ilimalize haraka sana vijana waendelee kupata nondoz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.