bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Duh! I thread kuna watu imewagusa sana!!!
Ukiolewa au kuoa mara ya pili - things will never be the same!!! Kubali au kataa ukweli ndiyo huo...
Watafiti wa mambo ya mahusiano wanaandika hivi "...Kama mwanaume au mwanamke aliyeacha/aliyachwa angepewa nafasi ya kumrudia mwezi wake baada ya muda, asilimia 95% wangefanya hivyo..."
Walio wengi huwa wanapata kuishi kwa taabu katika mahusiano ya pili - it is more or less of "sogea tuishi"!
tatizo hapa inakuwa ni fear of the unknown!binadamu ni wagumu kukubali na kukabiliana na mabadiliko!!alieachika bado anaweza kuonyesha upendo mkubwa tu atakapoweza kupata second chance!!!!