Baniani mmoja alikuwa jela na sanamu wake wa kuabudu;kila siku akawa ana iabudu na
kuiomba atoke jela. Kwenye chumba hicho hicho kulikuwa na muislam naye akawa anasali na kumuomba
mungu atoke jela. Siku moja muislam akaachiliwa huru.Wakati anatoka baniani akamuuliza,"Vipi,wewe
nafanyaje mpaka...
Wife yuko mkoani kwa ajili ya kujifungua. Tuliamua aende huko kwa kuwa ni uzazi wake wa kwanza na hapa mjini hatuna ndugu wa kuweza kusaidia mambo ya kumkanda, kumpikia na huduma nyingine kwa mama mzazi.
Akiwa anajiandaa kuondoka, tuliletewa kasichana kadogo ka kazi umri miaka 16.
Kwa kweli...
Ex girlfriend wangu aliolewa miaka mitatu nyuma, tena aliniacha kwa kuniumiza moyo kuwa mimi sina hela wa maisha.
Kasikia kuwa kesho naoa, leo kasema ataniletea mchango wake 1mil. Tumekubaliana kukutana Kinondoni Manyanya. Baada ya kukutana nae anataka eti nikamfanye kwani amesisimuka baada ya...
Leo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto...
Natamani nione Chadema inaingia ikulu.
Natamani Wasira azae na mama Mkapa
Natamani Rizwani afilisiwe
Natamani Mkapa apandishwe kizimbani kwa uhujumu uchumi na mauaji ya Nyerere
Natamani Kikwete apandishwe kwenye mahakama ya The Hague kwa uuaji na utesaji wa raia.
Hebu na wewe weka matamanio...
Mhindi akinistress basi huingia JF. Kuna list ya watu ambao huwa nayapitia maandishi yao ili kidogo kunifurahisha na kunifanya nirudi duniani. Miongoni mwa watu hao ni huyu bujibuji.
Hebu naomba usome hii link hapa chini halafu unisaidie majibu kuwa bujibuji anawagaje...
Kuna hatua mbili kuu za marafiki kukumbia.
Tena wanaokukimbia ni wale marafiki wa jirani ulio waona kama ndugu.
Ukiwatangazia kuoa wanaonekana kwa nje kukuunga mkono, ukihitaji msaa wao wanakupotezea na simu zako hwapokei wala meseji jawajibu.
Ngwe ya pili ukisha oa, utaona namba ya...
Nasikia kwenye maonyesho ya taarab huwa kuna jaa sana mashoga wanaojiuza na pia mabasha wanaotafuta mashoga. Je ni kweli kwamba muziki huu una uhusiano wa jirani na ushoga?
Jamani kwenye makutano haya ya Chang'ombe Polisi na Mandela Road kuna nazi imevunjwa na pia kuna njiwa mweupe hapo katikati ya njia panda.
Tuombe Mungu aepushe mabalaa ya ajali na kumwagika damu.
Hapa ni pabaya sana na panaitwa machinjioni.
Nikizoa taka za Sinza, naweza kupata zaidi ya konom zaidi ya mia tano, lakini nikizoa taka Temeke kata ya 13, nakuta kondom tatu au tano.
Je Sinza ndio wazinzi sana, au Sinza ndio wanajali sana.
Nawakilisha tu.
Kuna mama hapa mtaani baada ya kutalakiana na mumewe sasa anaishi na house boy wake maisha ya KINYUMBA.
Mama huyo sasa amesusiwa kutembelewa na wanawawe kwa aibu hiyo. Hoiuseboy mwenyewe is less than 20 years, yaani ni kichekesho mtaani, hasa wakiwa wanatembea jioni huku wakiwa wamekumbatiana...
Habari ya mapimziko.
Mapenzi ni ujinga na ujinga huu ndio unaonisumbua.
Ni kawaida yetu mimi na wangu mwandani kunyoana kila jumamosi ya katikati ya mwezi na mwishoni mwa mwezi.
Kilichonikera jana usiku baada ya kuoga nikawa namsubiri mwenzangu aje tunyoe kisha tulale.
Alipokuja nikashangaa...
Salva Rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa Chadema kwenye hii KASHFA YA RAISI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.