Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Kuna hatua mbili kuu za marafiki kukumbia.
Tena wanaokukimbia ni wale marafiki wa jirani ulio waona kama ndugu.
Ukiwatangazia kuoa wanaonekana kwa nje kukuunga mkono, ukihitaji msaa wao wanakupotezea na simu zako hwapokei wala meseji jawajibu.
Ngwe ya pili ukisha oa, utaona namba ya marafiki ikizidi kupungua.
Washikaji , kama ndoa ni baraka kwa nini tukimbiane?
Siji bar mara kwa mara , lakini njooni home, tunywe na tufurahi kama zamani.
Tuache noma
Tena wanaokukimbia ni wale marafiki wa jirani ulio waona kama ndugu.
Ukiwatangazia kuoa wanaonekana kwa nje kukuunga mkono, ukihitaji msaa wao wanakupotezea na simu zako hwapokei wala meseji jawajibu.
Ngwe ya pili ukisha oa, utaona namba ya marafiki ikizidi kupungua.
Washikaji , kama ndoa ni baraka kwa nini tukimbiane?
Siji bar mara kwa mara , lakini njooni home, tunywe na tufurahi kama zamani.
Tuache noma