Wakuu natanguliza shukrani zangu kwenu, nataka kununua friji kwa matumizi nyumbani Friji ipi ni Bora na inauwezo wa kudumu kwa mda mrefu?
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Habari wakuu kuna SAA moja nimeitafuta Sana online hasa AliExpress lakini sijaipata.
Je?
Wapi naweza ipata hasa Kwa wauzaji wa maduka dar es salaam?
Kwa wale wenzangu wa online mnaweza nisaidia kunitafutia Supplier anayeuza kama itashindikana bongo?
SAA inaitwa Casio G-Shock DW5600E- 1V Watch
Habari za humu wakuu? Hivi kuna mtu anayeifahamu hospitali ya wilaya ya Morogoro Vijijini na mazingira yake Kwa ujumla? Kuna mdogo wangu kapangiwa kituo cha kazi huko .
Napenda kujua jiografia yake Kwa ujumla pamoja na wilaya ilipo. Pamoja na changamoto zake Kwa ujumla.
Wakuu habari za muda huu?
Naomba kujua umuhimu wa kifaa hiki
Je, kinazuia radi?
Kinaweza kusaidia vifaa vyako visiungue kutokana na kupungua au kupanda kwa umeme ghafla?
Je
kunatofauti gani ya matumizi ya remote ya
G voice
na
Remote ya kawaida?
Je na remote ya g voice naweza kuitumia kama remote ya kawaida?
Vp kuhusiana na ulaji wake wa bundle?
Je Kuna yeyote aliyewai tumia tv box ya Aina hii km picha inavyojieleza???
Nina dogo hapa amemaliza 4m4 mwaka Jana na kupata division 4 ya point 26
Matokeo yake ni kama ifwatavyo
History C
Kiswahili C
ENGLISH C
CIVICS D
BIOS D
GEO D
MATH F
Je naweza mpeleka chuo gani ambacho angalau anaweza ikawa na uwanda Mpana angalau wa ajira?
Kiukweli nimepiga mahesabu upande wa...
Habarini wadau?
Nahitaji kuwa wakala wa kusajili line za TTCL na Zantel je changamoto zake ni zipi?
Ni vitu gani vya kuzingatia?
Scana ya Zantel ambayo nasikia inaingiliana na Voda naipata kwa shingapi?
Kuna changamoto gani katika kazi hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwananchi
TCRA yaja na king’amuzi kimoja
Friday February 7 2020
Miaka sita iliyopita, Tanzania ilishuhudia mabadiliko makubwa katika sekta ya matangazo, mifumo ya analogia ilizimwa rasmi na kuanzishwa kwa matangazo ya dijitali.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...
Aisee wakuu kuna aliyebahatika kupata nafasi kwenye hii kitu hapa chini?
===
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (MB), amefungua mafunzo kwa mafundi simu za mkononi wa Kanda ya Ziwa wa kutoka mikoa ya Mwanza, Kagera, Mara, Geita, Shinyanga na Simiyu
Kamwelwe...
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT.
Je, faida zake na hasara ni zipi? Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent? Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira ya sasa?
Kuna tofati gani kati ya volt Watt na Ampia? Unakuta Adapter inatoa volt 12 ina Ampia 2. Au unakuta charger ya simu inatoa volt 5 na Ampia ni 1.5 au 2? Au unakuta Tv guard au volt guard imeaandikwa Ampia 5 au 7. Ni tofauti?
Msaada napenda kujifunza!
Habari wakuu?
Hapa kwangu nilipohamia pana tatizo la nyumba nyingi zina low voltage.
Ni kifaa gani kinaweza kufaa kubalance umeme angalau niwe natumia Tv, Radio na matumizi madogo ya hapa nyumbani? Nimenunua volt Guard lakini inajizimazima hovyo ikifika muda ya jioni.
Mbali na stabilizer...
Atimaye AZAM TV wameanza kuziachia free baadhi ya local channel kwa mfano;
1. AZAM UTV
3. TBC na
3. SAFARI TANZANIA.
na Sasa wameachia
4. CHANEL TEN.
Ahsante serikali pamoja na kampuni Ya AZAM TV tunatumai siku zijazo mtatuachia free ITV EATV na STARTV
Nimtumiaji wa simu Aina ya Samsung pamoja na Itel S32
USB zake zote nilizo nunulia na simu zimekufa' nimejaribu kununua USB kadhaa zimekua haziingizi charge( wakati mwingine inaonesha charge inaingia lakuni haijai hata 1%) au zinatumia mda mrefu sana mpaka simu kuwa Fully charge.
Ntajuaje...
Salam wandg? Kunajamaa jirani kaibiwa decoder ya Startime ya Dishi na vitu vingne! Je hakuna uwezekano wa ku truck kujua mtumiaji decoder mahali alipo endapo anaitumia?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.