Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 809
- 293
Habarini wadau?
Nahitaji kuwa wakala wa kusajili line za TTCL na Zantel je changamoto zake ni zipi?
Ni vitu gani vya kuzingatia?
Scana ya Zantel ambayo nasikia inaingiliana na Voda naipata kwa shingapi?
Kuna changamoto gani katika kazi hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kuwa wakala wa kusajili line za TTCL na Zantel je changamoto zake ni zipi?
Ni vitu gani vya kuzingatia?
Scana ya Zantel ambayo nasikia inaingiliana na Voda naipata kwa shingapi?
Kuna changamoto gani katika kazi hii?
Sent using Jamii Forums mobile app