Search results

  1. Walnut Creek

    Tanzania kuna Bodi ya Kusimamia Hospitali?

    Wadau, ningeomba kupata jibu kama Tanzania kama Regulatory Board ya Hospitali zetu. Nimegundua hospitali nyingi nchini zinatoa huduma chini ya viwango na kama wananchi tunahitaji bodi ya kupeleka malalamiko. Na hiyo bodi iwe pro active kuhakikisha hizi hospitali zinatoa huduma nzuri kwa...
  2. Walnut Creek

    Waarabu wa Kuwait wanaendeleza Utumwa

    Inasikitisha bado hawa watu wanauza binadamu wenzao. Guess what, wengi wanaouzwa ni Waafrika. Cheki link ya BBC. https://www.bbc.com/news/technology-50266663
  3. Walnut Creek

    Kwanini Wapinzani hawaamini kwenye uhuru wa kuongea?

    Ningependa kuwakumbusha viongozi na mashabiki wa vyama vya upinzani kama nyie mlivyo na haki ya kuongea hata watu wanaozungumza msivyopenda pia wana haki ya kuzungumza. Mpango wenu wakumpeleka Karia mahakamani inaonesha jinsi mlivyo intolerant kama chama tawala.
  4. Walnut Creek

    Kwanini Waafrika Tunahitaji Misaada tuko nje ya Bara letu?

    Karibuni nimekuwa nikijiuliza sana hili swali lakini sipati jibu. Waafrika ni binadamu waliokamilika kama wenzetu wa mabara mengine lakini kwanini tunakuwa tegemezi? Kwanini tuliweza kuishi na kuendela na maisha yetu kabla ya wazungu na waarabu kuja kwenye bara letu na sasa tunashindwa kuishi na...
  5. Walnut Creek

    Randgold ready to mediate in Acacia's Tanzania row before Barrick tie-up

    Randgold ready to mediate in Acacia's Tanzania row Randgold Resources said on Tuesday it would mediate in a tax dispute between Tanzania and Acacia Mining, a firm in which Randgold investors will have a stake if its planned merger with Barrick Gold is approved by shareholders. Randgold Chief...
  6. Walnut Creek

    Udhaifu wa CHADEMA chanzo kikubwa cha wabunge wao kuhama

    Siyo siri hiki chama kimeonesha kila dalili ya kuishiwa pumzi ni muda vijana wenye mbinu, akili mpya , uwezo na nia ya kuwa viongozi wa Nchi hii siku zijazo waanzishe chama chao muda umefika kutafuta chama mbadala wa CCM na hivi vyama feki vya siasa.
  7. Walnut Creek

    Naomba kufahamu zaidi katiba au sheria zetu zinavyolinda haki za wagonjwa kwenye hospitali zetu

    Wadau nimeona nilete hii hoja hapa ilinipate ufahamu zaidi katiba au sheria zetu zinavyolinda haki za wagonjwa kwenye hospitali zetu. Wagonjwa wengi wanafariki na wengine wanapata huduma mbovu wanapokuwa kwenye hizi hospitali zetu. Je sheria inatambua haki za wagonjwa? Na inawapa nguvu wagonjwa...
  8. Walnut Creek

    Uchafu kwenye Masoko ya Dar es salaam

    Wanabodi, Ningependa kujua ni nani anasimamia usafi na miundombinu ndani ya masoko yetu Dar es salaam. Mvua ikinyesha kidogo masoko yetu yanakuwa kama Goma, Congo ni mwendo wa tope na uchafu wa kiwango cha kuleta kipindupindu. Inabidi tuzimulike Mamlaka zinazohusika zifanye kazi yake. Naomba...
  9. Walnut Creek

    Tanzania inahitaji zaidi kupambana na umaskini kuliko demokrasia

    Wanabodi, Kwa maoni yangu haya mapambano ya kupigania demokrasia yangeelekezwa kwenye kupambana na umaskini na kupiga kelele serikali ifanye zaidi kwenye kupunguza ukali wa maisha nadhani wananchi wengi wangewaelewa. Nawasilisha.
  10. Walnut Creek

    Mh. Rais siyo vibaya ukiunda kamati ya wafanyabiashara wa kushauri

    Mh. Rais nakushauri uchague wafanyabiashara wachache wakubwa kwa wadogo wa kushauri na kusaidia kukuza uchumi na kutengeneza sera rafiki kwa wafanyabiashara nchi. Miaka hii michache wafanyabiashara wanalalamika sana na niungwana matatizo yao kusikilizwa.
  11. Walnut Creek

    T/bills, bonds na fixed deposit ipi bora?

    Wadau, Ningependa kujua kwa mtu mwenye chini ya 50M ni bora aiweke kwenye T/BILLS, T/BONDS au FIXED DEPOSITS. Ushauri wenu unahitajika. Asanteni.
  12. Walnut Creek

    Sijaelewa kwanini Taasisi zinatoa vibali vituo vya mafuta kujengwa kwenye maeneo ya makazi ya watu

    Mlipuko mkubwa wa moto uliotokea Ghana unaweza kutokea nchi yoyote isiyokuwa na utaratibu mzuri wa kuhakikisha vituo vya mafuta vina vifaa na taratibu za kuzuia majanga ya moto. Je unadhani vituo vya mafuta ni salama? na taasisi za OSHA na EWURA wameweka kipaumbele usalama wa watu kwenye vituo...
  13. Walnut Creek

    Kampuni ya KK kuajiri walinzi kutoka Kenya

    Hivi karibuni nimeshangazwa sana kuona walinzi wa KK waliopo lindoni ni wakenya. Je ni sawa kwa kazi za ngazi za chini kama ulinzi kuchukuliwa na raia wa nchi nyingine. Naomba wanaofahamu wanijuze.
  14. Walnut Creek

    Jamani msikatishe maisha yenu kisa mapenzi

    Ujumbe huu uwafikie vijana na wazee ambao muda huu wameshika kamba, panga , sumu, silaha ya moto, panadol au chochote unachotaka kutumia kuondoa maisha yako kisa mpenzi wako amekuvunja moyo na umeshindwa kuvumilia maumivu ya usaliti ningependa nikwambie 80% ya binadamu waliofika miaka 30...
  15. Walnut Creek

    Msimlaumu Magufuli kwa ujumla Watanzania siyo watu wakutafuta maendeleo

    Hizi ni sababu zilizonifanya niandike hii mada 1) Tunapenda kulalamika kuliko kutatua matatizo. 2) Kila kitu tunategemea serikali itufanyie 3) Kwenye kila jambo tunatanguliza matumbo yetu badala ya Taifa 4)Tunapenda ngono na starehe kuliko kazi 5)Tunakimbia changamoto 6)Uvivu uliopindukia na...
  16. Walnut Creek

    Rais Magufuli siyo mtu wa kumlalamikia bali kumweleza unachotaka.

    Nimegundua Rais Magufuli hapendi malalamiko bali njia mbadala au hoja za kujenga zitakoweza kumsaidia kwenye ajenda yake ya kupeleka hii nchi mbele, nje ya hapo hasikilizii. Kama wapinzani wapo serious na maisha yao ya kisiasa wanabidi wabadili njia ya kumkabili la sivyo wataumia uchaguzi ujao.
  17. Walnut Creek

    Wasichana wa bongo hawajui kitu kinaitwa 'good time'

    Hivi kwanini wanawake wa kitanzania wapo very serious na ndoa na watoto? Mtu unamkuta ofisini, club au mtaani unamtongoza anakupa game, mara kesho yake anakwambia anakupenda sana hadi anadiriki kuanza kuelezea mipango yenu ya maisha ya pamoja ya ndoa. Acha hiyo wengine baada ya game hata kama...
  18. Walnut Creek

    Msaada: Utaratibu wa kufungua kiwanda Tanzania

    Moja ya ndoto kubwa ya Rais Magufuli ni kuwa na Tanzania yenye viwanda. Je kwa vijana wenye ndoto za kufungua viwanda vyao viwe vya bunduki, kemikali, magari,nguo, vyakula na vinginevyo wanahitaji kupitia taratibu zipi za msingi ilikupata leseni, mikopo na misamaha ya kodi ili nchi hii iwe na...
  19. Walnut Creek

    Kwanini tunatozwa malipo kwa dollar?

    Nimekuwa nikishuhudia makampuni yanatoza huduma au kuuza bidhaa kwa dollar ndani ya Tanzania hivi hii ni sawa?
Back
Top Bottom