Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,812
- 6,327
Hivi kwanini wanawake wa kitanzania wapo very serious na ndoa na watoto? Mtu unamkuta ofisini, club au mtaani unamtongoza anakupa game, mara kesho yake anakwambia anakupenda sana hadi anadiriki kuanza kuelezea mipango yenu ya maisha ya pamoja ya ndoa.
Acha hiyo wengine baada ya game hata kama ulitumia kinga baada ya wiki anakuja na habari ya mimba na ukimdadidisi unapata hisia kabisa hiyo mimba ilitegwa sasa ningependa kupata maoni ya wadada kwanini mnalazimisha sana ndoa na watoto ambao sisi hatuwataki au hamjui saa nyingine wanaume tunataka good time na siyo drama za ndoa na watoto.
Acha hiyo wengine baada ya game hata kama ulitumia kinga baada ya wiki anakuja na habari ya mimba na ukimdadidisi unapata hisia kabisa hiyo mimba ilitegwa sasa ningependa kupata maoni ya wadada kwanini mnalazimisha sana ndoa na watoto ambao sisi hatuwataki au hamjui saa nyingine wanaume tunataka good time na siyo drama za ndoa na watoto.