Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS Ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haijachikua taka mpaka zinatoka funza.
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi au mpaka mtumbuliwe? Afisa afya haonekani hapiti kukagua au mikataba ina harufu ya...
Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haujachikua taka mpaka zinatoka funza
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi Au mpaka mtumbulie afisa afya haonekani hapiti kukagua Au mikataba ina harufu ya...
TCRA fanyeni kazi yenu hawa jamaa wanazingua saaana hela yetu tunawapa wakati huduma ya mtandao wao ni mbaya kuliko maelezo.
Tunaomba muwafuatilie tena siku hizi hawafai kabisa.
Prof. Muhongo tokea umeingia umekagua mashine zoote za kutumia maji nakuongele suala la bei ya umeme kwamba Tanesco wanazalisha umeme kwa bei ndogo Sanaa lakini tunaona halifanyiwi kazi .Pia tunaona Tanesco walituma punguzo la service charge EWURA mpaka leo hakuna Majibu sasa mnaonyesha slogan...
Tunaona Suala la Usafi linashidwa kusimawiwa ipasavyo haswa kwenye masoko wakati kila mara mnaongelea Kupindupindu Je kitaisha kwa mwenendo huuuuuu
Angali Soko la ILALA Boma watu wanuza vyakula na tope zimejaa eeeeeee wengine wanaokota chini wanaenda kuuza tutapona kweli viongozi wa soko wakula...
TANESCO Naona wamefeli kutuweke umeme stable mitaa ya ILALA toka toka tarehe 29/1/2016 unakatika Zaidi ya mara kumi
Inaonekana kazi waishindwa ukiwauliza majibu “HATUJAJUA TATIZO LIPO WAPI BADO TUNAFUATILIA”whaaaaaaaaaaaaaaaat inafika wiki sasa hawajui tatizo lipowapi?
Umeme mpakali lini...
CUSTOMS BANDARNI NA AIRPORT ina matatizo saana kwa rushwa na inaumiza saana wananchi wake. inakuwa inawasumbua ili kupata. Au kukuzidishia mzigo, kwa nini hatuwekewi sheria wazi za cutomes na escalation Matrix kama una sumbuliwa
Wananchi hatujui sehemu ipi upeleke malalamiko na kwa uhakika...
Inaonekana TANESCO na Vyombo Vya Habari wanamhujimu waziri wa Madini na Nishati kwa sababu
TANESCO wanakata umeme Kilasiku Zaidi ya masaa 10 Ukiwauliza hakuna mgao.....
Vyombo vya habari Kimyaaaaaaaaa hakuna anaye zungumzia swala la umeme au kumhoji Waziri na huku alisema tatizo la umeme msahau
Habari wakuu
Please ninahitaji kujua katika mitandao yetu hapa nchini TZ modem zake zina speed haswa ukiwa una streaming video/Radio online inakuwa haistop mara kwa mara
Shukran tena kwa wooote
Wakuu naomba msaada nina desktop inatoa sauti ndogo saana japo nimeongeza mpaka mwisho kwa internal speaker.
Nika connect external speaker but suiti ni ndogo saana
Je inaweza ikawa inatatizo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.