Hayo ni maneno yaliyotokana na kiarabu, linalotumika sana kwa kiswahili hapa kwetu ni ajira, wengi hulitamka na kuliandika visivyo "ajila", hii haileti maana sahihi kwani ajila nalo ni neno pia, lenye maana tofauti kabisa na ajira, lakini halitumiki sana katika kiswahili cha siku hizi hususan cha bara. Wa-pwani, wenye asili ya kiswahil tena wazamani, wanaijuwa maana ya neno "ajila", kwa sasa naliwacha kulitolea maana hili neno kwa sababu za kiufundi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.