Ni bora kwanza kujua umeshajifunza kiingereza hadi kiwango gani. Kama ulikisoma hadi kidato cha 4 huwezi kuanza kusoma vile vitabu vya matumizi ya "is" au has na have. Kiingereza kwanza ni tenses. Jifunze hizo kabla ya vngine. halafu sanjari na hiyo ujifunze parts of speeech. hayo mengine utapewa kwa ziada.Habari wakuu
Naomba Msaada wenu English Grammar Inasumbua Saana Kitabu au chochote chepesi kinaweza saidia
Thanks
Habari wakuu
Naomba Msaada wenu English Grammar Inasumbua Saana Kitabu au chochote chepesi kinaweza saidia
Thanks
- Tembelea linki hii : Primary Resources: English:
- Learn English grammar via BBC english grammar, vocabulary & pronunciation : Learning English - Grammar, Vocabulary & Pronunciation
ni-PM email yako ninacho kimoja hapa (ni PDF file)
Hi Gurta I need a copy too if you still have a soft copy,may I PM you so that you can send me a copy?I will appriciate much
Habari wakuu
Naomba Msaada wenu English Grammar Inasumbua Saana Kitabu au chochote chepesi kinaweza saidia
Thanks
Hi Gurta I need a copy too if you still have a soft copy,may I PM you so that you can send me a copy?I will appriciate much
Dear Bagamoyo,thanks for the English links u have given,you don't know how much it is useful to me,thanks
Gurta , l hope your doing fine. also I need a copy too If possible. be blessed.