Kampuno ya AIFOLA yazisha uchafu ILALA

Kampuno ya AIFOLA yazisha uchafu ILALA

Bontowar

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2009
Posts
520
Reaction score
53
Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haujachikua taka mpaka zinatoka funza
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi Au mpaka mtumbulie afisa afya haonekani hapiti kukagua Au mikataba ina harufu ya rushwa?
President JPM hawa ndio wanachelewesha kasi yako washughulikiwe
 

Attachments

  • DSC_0846.JPG
    DSC_0846.JPG
    136.8 KB · Views: 43
  • DSC_0845.JPG
    DSC_0845.JPG
    126.1 KB · Views: 48
  • DSC_0844.JPG
    DSC_0844.JPG
    117.9 KB · Views: 46
Tupo kwenye upembuzi yakinifu.Mtuvumilie funza wakue.
 
Back
Top Bottom