Search results

  1. M

    Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

    Mshamba tuu, huu ufugaji wa mwaka 47 nani anaitaka, anatuharibia mazingira. Kwa hela alizoiba alitakiwa awe na ng'ombe wa kisasa
  2. M

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Mwizi tuu huyo, na ni bonge la jipu linalohitaji mtumbuzi. Deal zake zote na serikali ni viini macho na maigizo, kuanzia Ubungo plaza, Quality Mall na zinginezo
  3. M

    Hivi nchi hii inaongozwa kwa sheria au kwa kushtukiza?

    Lini ilishawahi kuwa na sheria
  4. M

    Waliokuwa na vibali vya ujenzi na kulipia kodi ya majengo hawawezi kwenda mahakamani kudai fidia?

    Wengi walio nunua hivi viwanja walifanya hivyo wakijua sio sahihi, nani hasiyejua open space au chanzo cha Maji au ukingo wa mto, au njia ya Maji ya msimu.
  5. M

    Liangalie swala hili kwa jicho la tofauti!

    Hajabana matumizi, ila anafanya vitu kutokana na vipaumbele, badala ya kwenda Ulaya vacation, unanunua dawa za wagonjwa au unasomesha watt wa maskini nk nk. Ni sawa na mzazi huwezi chukua hela kwenda kutanulia wakati nyumbani kuna dhiki kibao,
  6. M

    Roketi inarudije katika kinu chake? Je, inarudi kinyunyume au?

    Rocket sio ndege ni ile inayotumika kurusha vitu vinavyoenda anga za juu, uwa unaenda mpaka kile kifaa kifike kwny eneo la hewa ya uvutano halafu yenyewe uwa Mara nyingi inasambaratika na kuanhukia baharini au jangwani Ndio maana sehemu za kurusha ni pembeni mwa baharini au jangwani
  7. M

    Makonda katika ubora wake!

    Barbara za manispaa na jiji hazipo chini ya wizara ya ujenzi, zipo chini ya tamisemi
  8. M

    Hao viongozi wa TAKUKURU, ile ilikuwa dharau kwa mamlaka ya Rais

    Unajua Wabongo mtu akiwa na vijisent kidogo anaanzisha madharau, sasa ukute ana uhusiano na mkubwa fulani ndio inakuwa jeuri mara 100, kwa hiyo ww bosi unaweza sema hapana wala hatojali, si ajabu wengine wanaendaga hata kabla ya kupewa likizo
  9. M

    NBAA wafuatilieni wakaguzi waliokagua TPA mtumbue majipu

    Siyo wajibu wa wakaguzi wa nje kugundua hilo. Ni PCCB wakaguzi wa ndani ambao siyo Lazima wawe wa NBAA,
  10. M

    Kumekucha: Waliosafiri nje ya nchi kwa fedha za umma baada ya katazo la rais matatani

    Sio kupanick, ndio wajibu wake lkn kwa sabb huko nyuma hakukuwa na nidhamu ya kazi ndio maana alikuwa haijukani kazi yake nn
  11. M

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    Africa walishamaliza kipindi cha yule Mghana
  12. M

    Dhamana ya akina Masamaki wa TRA ni bilioni sita

    Akin Mramba na Yona mbona waliwekewa kama hizo na waliweza kuzipata
  13. M

    Leo nimeenda Mlimani City kwa mara ya kwanza

    Man City?????????!!!!!!!!
  14. M

    SAMIAH:Waliopewa tender za kusafisha miji wamulikwe....

    Hapa sasa ndio kuna tofauti kati yake na wenzake wawili, anaposema yamulikwe nani afanye hilo. Yy ndio anatakiwa ayafuatilie na atoe maamuzi otherwise ndio yale yale ya Pinda na JK
  15. M

    USD 600 million zilizokopwa na JK zimefanya shughuli gani za maendeleo?

    Hizo watu wakianza kuzipiga hata kabla hazijafika Bongo, sio ajabu ni miongoni mwa yale mabilioni Zitto alikuwa anapigia kelele
  16. M

    Kusimamishwa kazi kwa kamishna mkuu TRA je bodi yake ilikuwa wapi

    Bodi nyingi za mshirika ya umma zimejaa waganga njaa ambao hawajui majukumu yao ni nn, wanawanyenyekea mabosi badala ya wao kunyenyekewa, wantetemekea posho kama vile huyo bosi anzitoa mfukoni kwake, wengine ni unemployed kila siku utawakuta ofisi za mashirika kama vile ni muajiriwa
  17. M

    Madhara ya kuchelewesha sana Baraza la Mawaziri

    Tulikuwa nao wengi tuu huko nyuma nn wamefanya, ndio vizuri acheleweshe hata mpaka mwakani maana Najua wengine watasubiria magari ya uwaziri ili waemde vijijini kwao kuosha sura
Back
Top Bottom