Jicho la Ndani
Member
- Nov 5, 2013
- 16
- 2
Magufuli: " Karibu miezi sita sasa imepita (tangu bajeti ya 2015/2016 ipitishwe) hakuna fedha yoyote ya maendeleo iliyoenda kwenye wizara yoyote. Fedha yote tulikuwa tunaitumia kwa ajili ya mishahara na vitu vingine."
Balozi Sefue atueleze fedha zile za Mkopo USD 600 Mil tangu mwaka 2012/2013 hadi mwaka huu wa fedha 2015/2016 zimeenda kufanya shughuli gani ya maendeleo kama alivyowahi kusema?
Watanzania tumuulize Balozi Sefue ambaye ni kiongozi mwanamizi katika serikali ya JK na sasa Magufuli atupe majibu yanayoeleweka juu ya fedha hizo?
Akina Mheshimiwa Zitto na wanasiasa wengine mliokuwepo katika bunge lilopita, tupeni majibu ya fedha zile na shughuli gani ya maendeleo iliyofanywa?
Magufuli " Mwezi huu (Dec) ndio zimetolewa Bil 120 kwa ajili ya shughuli za maendeleo lakini kwa miazi yote tangu bajeti ipitishwa ilikuwa haijatoka hata senti tano." Tumuulize Rais, maendelo hayo ni yepi haswa?
Tumuulize JK "Mzee wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania!" ilikuwaje tangu mwezi wa Saba hadi anakabidhi nchi Nov hajafanya lolote la maendeleo kwa mwaka huu wa fedha?
Balozi Sefue atueleze fedha zile za Mkopo USD 600 Mil tangu mwaka 2012/2013 hadi mwaka huu wa fedha 2015/2016 zimeenda kufanya shughuli gani ya maendeleo kama alivyowahi kusema?
Watanzania tumuulize Balozi Sefue ambaye ni kiongozi mwanamizi katika serikali ya JK na sasa Magufuli atupe majibu yanayoeleweka juu ya fedha hizo?
Akina Mheshimiwa Zitto na wanasiasa wengine mliokuwepo katika bunge lilopita, tupeni majibu ya fedha zile na shughuli gani ya maendeleo iliyofanywa?
Magufuli " Mwezi huu (Dec) ndio zimetolewa Bil 120 kwa ajili ya shughuli za maendeleo lakini kwa miazi yote tangu bajeti ipitishwa ilikuwa haijatoka hata senti tano." Tumuulize Rais, maendelo hayo ni yepi haswa?
Tumuulize JK "Mzee wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania!" ilikuwaje tangu mwezi wa Saba hadi anakabidhi nchi Nov hajafanya lolote la maendeleo kwa mwaka huu wa fedha?