bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Habari za kwenyu kwa pamoja
Eti kila mtu anasema Dr JPM mr president anabana matumizi, mi nasema siyo kweli, hajabana matumizi. Nimegundua kuwa, watu wengi wameshindwa kutofautisha kati ya kubana matumizi, na kubadirisha matumizi.
Kwa mfano, kama ulikuwa ukitumia shs 10,000 kwa siku kwa chakula, kisha ukapunguza na kuanza kutumia shs 8,000 - hapo tunasema umebana matumizi. Lakini, kama unatumia kiasi hichohicho lakini umebadirisha menyu tu, basi haujabana matumizi kwasababu umetumia kiasi kile kile.
Turudi kwa le presida: fedha ya uhuru - imekenda kujenga barabara, hapo hajabana matumizi, amebadiri matumizi.
Fedha ya sherehe ya bunge - imekwenda kununua vitanda - matumizi yamebadirika, hajabana
Fedha ya safari za nje - ikalipie elimu bure,elimu ya juu mikopo imeongezeka
Tumuunge mkono JPM, na watu waache kulialia, kwamba mzunguko utapungua, sijui biashara zitadorora, hapana! mzunguko utakuwa ule ule kwasababu pesa inatumika vilevile.
Jumapili njema
Eti kila mtu anasema Dr JPM mr president anabana matumizi, mi nasema siyo kweli, hajabana matumizi. Nimegundua kuwa, watu wengi wameshindwa kutofautisha kati ya kubana matumizi, na kubadirisha matumizi.
Kwa mfano, kama ulikuwa ukitumia shs 10,000 kwa siku kwa chakula, kisha ukapunguza na kuanza kutumia shs 8,000 - hapo tunasema umebana matumizi. Lakini, kama unatumia kiasi hichohicho lakini umebadirisha menyu tu, basi haujabana matumizi kwasababu umetumia kiasi kile kile.
Turudi kwa le presida: fedha ya uhuru - imekenda kujenga barabara, hapo hajabana matumizi, amebadiri matumizi.
Fedha ya sherehe ya bunge - imekwenda kununua vitanda - matumizi yamebadirika, hajabana
Fedha ya safari za nje - ikalipie elimu bure,elimu ya juu mikopo imeongezeka
Tumuunge mkono JPM, na watu waache kulialia, kwamba mzunguko utapungua, sijui biashara zitadorora, hapana! mzunguko utakuwa ule ule kwasababu pesa inatumika vilevile.
Jumapili njema