The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,140
- 116,069
Kati ya wote waliozungumza leo kwenye zoezi hili la usafi
angalau Samia Suluhu kazungumza cha maana zaidi
aliposema haiwezekani makampuni yanapewa tender kila mtaa Dar
lakini jiji bado chafu
hayo makampuni yamulikwe na taarifa apelekewe....
source tbc1....
Hili ni better zaidi kwa kweli
zoezi liwe symbolic zaidi lakini usafi haya makampuni yanayolipwa mamilioni
yachunguzwe
angalau Samia Suluhu kazungumza cha maana zaidi
aliposema haiwezekani makampuni yanapewa tender kila mtaa Dar
lakini jiji bado chafu
hayo makampuni yamulikwe na taarifa apelekewe....
source tbc1....
Hili ni better zaidi kwa kweli
zoezi liwe symbolic zaidi lakini usafi haya makampuni yanayolipwa mamilioni
yachunguzwe