Hawa umenikumbusha baadhi ya matumizi ya maneno, kwa mfano kwenye Quran, Mwenyezi Mungu anasema, we have created, na kwenye speech ya queen wa Uingereza ingawa yeye ni head of the state huwa anasema We are going, or we did this.......Hii wataalam husema inamaanisha supremacy. Kwenye she nitarudi