Kumekucha: Waliosafiri nje ya nchi kwa fedha za umma baada ya katazo la rais matatani

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,081
CWa4FHKWIAAN1-a.jpg
 
Mmh!!....Katibu Mkuu ameamua kufanya kazi jumba bovu lisije kumuangukia,ni aibu sana kuona agizo la Mkuu wa nchi linapuuzwa na watu ambao anategemea wamsaidie kwenye kazi zake.
 
Kumbe bado walisafiri. Walidhani hii ni karne ya JK, wajue kila zama huja na kitabu chake.
 
Ahahaaaaaa, watajibebaaaaa.
Go Magufuli go, ulipo tupo!
 
Last edited by a moderator:
Na hapa ndo kuna safari kede kede za nje ya nchi,

Sema huyu KM anapanic sana since Magu kaingia kwenye hatamu
 
Na hapa ndo kuna safari kede kede za nje ya nchi,

Sema huyu KM anapanic sana since Magu kaingia kwenye hatamu

Sio kupanick, ndio wajibu wake lkn kwa sabb huko nyuma hakukuwa na nidhamu ya kazi ndio maana alikuwa haijukani kazi yake nn
 
Back
Top Bottom