Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Mchungaji ana bodyguard! Naamini huyu Mzee alipata First Class yenye Hons degree yake ya sanaa na Maigizo chuo kikuu cha Dar es salaam!

Wewe ndio hujijui
Unasahahu kuwa ukifika Level ya PM kwenda Juu utalindwa Maisha yako yote.
 
Nilipiga kura ya Rais/Mbunge na Diwani katika jimbo langu, wote walichukua CDM ila urais kitaifa wamechukua magamba :angry: Rais wangu mamvi.

Wakati mwingine tujalibu kuficha kidogo ujinga wetu unaposema raisi wangu ni mamvi unskusudia kutumbia kuwa wewe una nchi ya kwako inayoongoza na huyo mamvi?
 
Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?

...hivyo viatu umeviona kwa 'jicho' la tatu sio..
 
Ng'ombe ni biashara kubwa sana,we unadhani mpaka Bush kuamua kurudi kwenye ranch yake mchezo.?
 
Mshamba tuu, huu ufugaji wa mwaka 47 nani anaitaka, anatuharibia mazingira.
Kwa hela alizoiba alitakiwa awe na ng'ombe wa kisasa
 
Picha hizi nilianza kuziona hata kabla ya dec 25 tupatiwe picha mpya kuthibitisha hilo isije ijawa sanaa inaendelea
 
Hao ngombe walivyo nona adi raha sidhani kama nyama ya hao ngombe inaweza kuuzwa kwenye bucha zatu!!!!
 
Wanao-comment bady against lowassa wote ni masikini kuazia kiakili mpaka kifedha....huyo jamaa hana njaa ya vicent....ona mifugo yake..na cyo kaaza leo baada ya uchaguz...ni tangia ez na ezi...
 
Mchungaji ana bodyguard! Naamini huyu Mzee alipata First Class yenye Hons degree yake ya sanaa na Maigizo chuo kikuu cha Dar es salaam!

Alitakiwa avae shuka akiwa kaifunga shingoni na sime kiunoni hapo ndio angeigiza vizuri ha ha haaaaaaa
 
Back
Top Bottom