Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 566
Wakuu habarini jamani,
Baada ya kujipanga mwaka mzima , nikaamua kutumia kajibonasi kangu kufanya ziara mlimani city. Huwa napitaga tu nikitoka Mwenge kwenda Ubungo. Sijawahi kuingia.
Basi bwana kufika mule ni viinglishi tu vinaendelea. Ila nimepakubali sana maana kuna mabinti warembo kweli kweli na wengi wao wamevaa miwani mikubwa, sketi za kubana mapaja nje, na vikuku. Wamependeza haswa.
Nikala aiskrimu, nilifurahi sana.
Nitarudi tena wikiend ijayo.
Baada ya kujipanga mwaka mzima , nikaamua kutumia kajibonasi kangu kufanya ziara mlimani city. Huwa napitaga tu nikitoka Mwenge kwenda Ubungo. Sijawahi kuingia.
Basi bwana kufika mule ni viinglishi tu vinaendelea. Ila nimepakubali sana maana kuna mabinti warembo kweli kweli na wengi wao wamevaa miwani mikubwa, sketi za kubana mapaja nje, na vikuku. Wamependeza haswa.
Nikala aiskrimu, nilifurahi sana.
Nitarudi tena wikiend ijayo.