Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Hilo ndio fundisho kwa wengi. Unaitia serikali hasara sasa wale waliokuwa wanawahonga wawasaidie ..... .... .. patamu hapo. Then siku hizi hata ukimbie kuna Interpol watakunyaka tu kama wanataka. Serikali ina mkono mrefu. safi sana JPM safisha nchi.