Gari la zaidi ya milioni 800 linalomilikiwa na mtoto wa Bakhresa ambalo limekuja kwa oda maalum..!!

Futa kauli yako kaka, JASHO LAKE!

Hakuna kufuta kauli hapa. Fanya research katika viwanda vyake uone jinsi vibarua wanavyolipwa kidogo. Miaka 3, 4 huajiriwi. Lazima watajirike kwa kukwepa kodi na kuwapunja wafanyakazi.
 
Hakuna kufuta kauli hapa. Fanya research katika viwanda vyake uone jinsi vibarua wanavyolipwa kidogo. Miaka 3, 4 huajiriwi. Lazima watajirike kwa kukwepa kodi na kuwapunja wafanyakazi.
Tena ni watoroshaji wa makontena ICD.., WASHENZI SANA..
 
Ni Omar au Abubakar? All of them are smart dudes...how on earth did they get into this trap?
 
1.jpg




Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000.


2.jpg
Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa






3.jpg
Huyu jamaa ndiye anayeendesha gari la hili la mtoto wa Bakhresa






4.jpg
Angalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000






5.jpg
Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa






6.jpg
Bin Zubeiry aliionja kidogo






7.jpg
Mwingine mwenye gari kama hii Dar es Salaam nani?






8.jpg
Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam-BIN ZUBEIRY

Matokeo ya kuiba kodi za watanzania. H?yo migari mtaiuza maana tayari mmeanza kutumbuliwa mjipu ya makalio. Mtazisoma namba za kirumi. Jamaa yenu aliewajengea wigo wa kukwepa kodi keshawekwa pembeni. HAPA KAZI TU.
 
Ni Omar au Abubakar? All of them are smart dudes...how on earth did they get into this trap?

Mara nyingine huwa tunajisahau na kudhani kuwa maisha ni leo tu. Na tena pale ambapo dola iko upande wetu. Ndiyo maana CCM wamehangaika kwa muda mrefu kuhakikisha mtu ambaye ni mfukuaji hanusi ikulu. Sasa wamebugi na namba tunazima wote. Aidhuri wengine tunasomewa!!
 
Hivyo ni vitanda vingapi mahospitalini?? Ndio maana hata vitabu vitakatifu vinaandika kwamba ni rahisi sana kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mbinguni, sasa mtu mmoja milioni 800 kwa nchi maskini kama hiii na bado una guts za kutoka nalo nje kuwaringishia?? walahi vile watu tunatofautiana ...
 
Back
Top Bottom