Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

Nilichoandika kipi huelewi? maana Kiti cha ukatibu mkuu wa UN haijalishi wa kutoka bara gani kinachoangaliwa ni uwezo wa Mtu kwani utaratibu wake upo wazi ni kufuata tu kama rail na treni.

Boutros Boutros Ghali alitokea Egypt ambayo ipo Africa na Akapokewa na Koffi Anani wa Ghana Africa pia ndio kwa Sasa Ban akampokea.

Mkuu,nimetoa Mfano Rahisi Wa Mwl JKN Na Marais Wenzake Ili Unijibu Tu Kuwa Wakati Huo Katiba Ilikuwa Bado Haijaweka Ukomo Wa Urais.Ok,back To Our Topic, Ni Hivi.., Mkutano Mkuu Wa UN Wa 1997 Ndio Ulioweka Utaratibu Wa Rotation Kimaeneo Wa Nafasi Hii.Sasa Boutros Na Annan Walipokezana Toka Bara Moja Kwa Sababu Kanuni Hii Ilikuwa Bado Haijakuwepo.Bara La Kwanza Kuhesabiwa Baada Ya Hii Kanuni Ni Africa Kwa Annan,Na Sasa Asia Kwa Ban.Ajae Huenda Akatoka Eastern Europe.Kwa Maelezo Zaidi Google Maneno Haya'' HOW THE NEXT UN SECRETARY GENERAL WILL BE CHOOSEN''. Usipoelewa Na Hapo Basi,mi Kama Great Thinker Nimetimiza Wajibu Wangu.
 
There are few rules governing the selection of the Secretary-General. The only guiding language is Article 97 of the United Nations Charter , which states that "The Secretary-
General shall be appointed by the General Assembly upon the recommendation of the
Security Council." In 1946, the General Assembly adopted a resolution stating that it
was desirable for the Security Council to proffer one candidate only for the consideration of the General Assembly, and for debate on the nomination in the General
Assembly to be avoided. As a result, the selection is subject to the veto of any of the five permanent members of the Security Council.

The Charter's minimal language has since been supplemented by other procedural rules and
accepted practices.

Traditionally, candidates
from the Permanent Five members of the Security Council (China, France, Russia, the United Kingdom, and the United States), are not considered for the position of Secretary- General to avoid further concentration of
power within the UN. As with regional rotation, this is a matter of precedent and
convention, rather than a written rule.

While former officeholders represent a wide range of countries, there has never been a female Secretary-General.

Because of the informal regional rotation scheme, many commentators speculate that
the next UN Secretary-General will come from the Eastern European Group , as that region
has never produced a Secretary-General.

However, tensions between Russia and Western permanent members over the conflict in
Ukraine has raised the possibility of deadlock
over an Eastern European nominee, meaning that candidates from other regions
(particularly non-European WEOG and Latin America) are being seriously considered.

Source: https://en.m.wikipedia.org/wikiUnited_Nations_Secretary-General_selection,_2016
 
Nomination ya Boutros Boutros Ghali katika AU mkuu sina kumbukumbu zake maana nakumbuka sana haswa kwa Jina lake nilikuwa naliona la Ajabu ajabu and secondly jina la pili linafanana na la kwanza! third Alikuwa Muafrica ndio maana sikuweza kumsahahu

siyo AU lile lilikuwa swali au? hakuwa gombea AU, yeye alikuwa Mmisri au Misri ipo arabuni?
 
Akitoka tu. .itabidi atakaechukua mikoba yake azifutilie mbali nchi washirika. !! (Makontena yatatia fora )
 
Kikwete anaweza kabisa kushika hiyo nafasi.Ni viongozi wa Afrika tu kupendekeza hilo jina lake.Na akipendekezwa atashinda kwa kura nyingi mno kuliko kiongozi yeyote aliyewahi kugombea nafasi hiyo.Sababu hatakuwa na shida kuungwa mkono na mabara mengine ya Asia,Ulaya na Marekani kwani huko kote viongozi wake wanamkubali vizuri mno
Umetumwa kusema ujinga!!!
 
Natangaza rasmi kwamba huu ndio uzi wa kuchekesha zaidi kwenye jukwaa hili kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita .
 
Hiyo nafasi inahitaji mtu wa kuendeshwa na Marekani. A puppet leader. "Kama" JK anaweza kuwa puppet basi atafaa.
 
Kazi ya magufuli inamuharibia! Inaonesha mapungufu ya Rais aliyemtangulia. Kuna mengine hayavumiliki/hayasameheki.
 
Walimsapoti kwa wizi wake na mikataba mibovu aliyokuwa anasainiana nao
Ndiyo maana walimpenda.


Ukiona marekani wanakupenda ujue kwako wamepaoma shamba la bibi
 
Acha kudanganya watu. .Watu ndani JF ni werevu huu ulioandika ni uzushi kwani mrithi katibu mkuu UN Ban ni Antonio G. kutoka Ureno
 
Acha kudanganya watu. .Watu ndani JF ni werevu huu ulioandika ni uzushi kwani mrithi katibu mkuu UN Ban ni Antonio G. kutoka Ureno
 
Back
Top Bottom