Search results

  1. Mkeshahoi

    Huku Pretoria MMU wapo kweli?

    Pretoria.. huku ughaibuni kwa mzee Jacob Zuma... MMU wapo kweli? wengine tushakuwa wa zamani sasa.. Najiuliza kwa sauti tu..:):)
  2. Mkeshahoi

    MMU mpo Windhoek?

    kwema humu? wajameni.. kuna wadau wema wa MMU Jijini humo?;);):) nawakilisha
  3. Mkeshahoi

    Moshi Town only

    Wadau Back again at the town.. Few days in and things are getting stale.. In need of some cheering up for the weekend..;):p I submit..
  4. Mkeshahoi

    Bongolander at Addis Ababa

    Wadau.... Marafiki walioko pande hizo mpooo?
  5. Mkeshahoi

    Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja kipo Pugu-Kigogo fresh, hakina mgogoro na taarifa za msingi ni kama inavyooneshwa katika kiambatanisho hapa chini: Mnunuzi mwenye nia ya dhati... tafadhali ni P.M - offer yako. Tuko pamoja na Nawakilisha.
  6. Mkeshahoi

    Quick loan needed

    Wadau.... Kichwa cha habari chajieleza. Kama upo dar city ni-pm tufanye kazi. nawakilisha...
  7. Mkeshahoi

    Samsung TV Sokoni- Deal laisha Leo - 16 hrs

    Dar es salaam -Samsung 40' LED Series 5, genuine, Surge safe, Full HD (1080P), Clear Motion Rate.. and several other features.. Inbox me for serious offers... The deal expires today 4pm. Fist come, first save. nawakilisha
  8. Mkeshahoi

    Kufahamu Bei (kwa wanaofahamu)

    Wadau.. heshima mbele naomba kufahamu bei ya soko kwa ekari moja ya ardhi ambayo haijapimwa ina ina hati ya mauziano... Morogoro-Kingolwira, upande wa Manispaa na umbali wa Km 2 toka barabara kuu ya Moro-Dar.. Ahsanteni..
  9. Mkeshahoi

    Semi-finished house for sale...

    Wadau.. Nyumba ipo Kigamboni-Kibada... ipo katika makazi yaliyopimwa na kina hati.. nyumba iko katika kiwango cha renta. Mmiliki amekwama kiuchumi kumalizia ujenzi. Bei 50 Mil. mazungumzo yapo.. Mwenye nia thabiti ani-PM... Nawakilisha.
  10. Mkeshahoi

    A-Level Past Papers (PCB)

    Heshima Wadau.. Ni wapi ninaweza nikapata vitabu vyenye maswali na majibu ya mitihani kwa masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia haya kwa takribani miaka 20 iliyopita?! Nawakilisha nikitanguliza shukrani
  11. Mkeshahoi

    Pretoria..

    kwa siku chache kwa elimu za uzeeni... MMU tafazali kwa kubadilishana uzoefu wa maisha.!! Wapeleka 'sembe' nawaheshimu ila hawahusiki na hili..!!
  12. Mkeshahoi

    Dar:muziki wa Rhumba.. Bakulutu...Laivu Bendi (penye ustaarabu)

    ni sehemu/ kumbi mtu aweza pata burudnani tajwa hapo juu... sehemu ziwe na staha kwa watu wazima, zisiwe na vurugu za vijana wa zama hizi za Whats up na Facebook... Mfano.. -La Prima... King Kikii anafanya mambo pale kila ijumaa ila kuna vurugu za za masharo wa kiume na wa kike...
  13. Mkeshahoi

    mkopeshaji...

    Mtajwa hapo juu.. -awe anapatikana dar es salaam, manispaa ya kinondoni.. -mwenye masharti nafuu (kiwango cha riba na na muda wa malipo) atapewa kipaumbele.. -mkopaji ni mwajiriwa/mjasirimali(ushahidi na maelezo ya ziada vitatolewa kwa atakayefuzu)...!! -Dhumuni la mkopo..Dharura.. Kwa aliye...
  14. Mkeshahoi

    Mambo 30 Yanayokuonesha Kuwa Sasa Umri Umeenda:

    Mie simo.. 1. Huna muda wa kushinda na mpenzi wako kutwa nzima mkipiga stori za mapenzi 2. Ukihitaji kufanya mapenzi mahali unakokufikiria ni kitandani 3. Unaanza kujaza friji lako kwa vyakula zaidi kuliko pombe 4. Muziki unaoupenda unausikia ukiwa kwenye lifti ama kwenye gari lako ukienda...
  15. Mkeshahoi

    nafasi.. Walimu

    Kuna wadau hapa amba wamesomea fani tajwa... nimeiona mahali nikaona ni vema niirushe jukwaani waichangamkie Kazi kwenu wadau..
  16. Mkeshahoi

    Commonwealth news internship 2013 ...

    Location: London, UK Duration: February to July 2013 (approximately 6 months) Closing Date: 31 Dec 2012 The Communications and Public Affairs Division of the Commonwealth Secretariat is seeking a young journalist from one of the following countries in Africa to undertake an approximate...
  17. Mkeshahoi

    Simple reminder pals..MMU

    WARNING WORTH HEADING. Please take note of the following tips for December…you have been warned so please don’t repeat last year’s mess… DECEMBER 15 - Payday DECEMBER 16 DECEMBER 24 DECEMBER 25 DECEMBER 27 JANUARY...
  18. Mkeshahoi

    Chini ya miaka 35?Fursa ya kushindania.. AFIKA KOMMT 2013-2015

    Nime rushiwa mahali nami nimeisogeza humu. Kwa walio chini ya miaka 35 .. Kong'oli link hiyo.. https://gc21.giz.de/ibt/gc21/area=portal/style=myso/paint=myso/de/usr/modules/gc21/ws-afrikakommt/ibt/documents/Announcement-Afrika-kommt.pdf Nawakilisha
  19. Mkeshahoi

    Msada Tutani.. Msaada Tafdhali

    Wadau... Nina rafiki yangu.. fani yake ni Udereva. Ni mzoefu wa muda mrefu. Ametumikia Kampuni ya Mabasi na sasa amechoka lawama za tajiri. Mnahitaji udereva safari maalum mf. Gari za kuplekwa mkioani.. coaster ya kusafirisha msiba kwenda mikoani.. coaster kupeleka biria safari maalum.. gari...
  20. Mkeshahoi

    Usafirishaji-Solar panels na batteries mikoani (urgent)

    Wadau, Kuna jamaa yangu anahitaji kusafirisha mizigo tajwa hapo juu kwenda sites(minara ya simu) 21 Mkoani kagera... jumla ya mzigo ni kama tani 39... Inahitajika Kampuni yenye uwezo wa kufikisha huo mzigo ilete mchanganuo wa hiyo kazi.. Seroius people ni-pm ASAP . Hatakiwi mtu kati. Ahsanteni.
Back
Top Bottom