Kiwanja kipo Pugu-Kigogo fresh, hakina mgogoro na taarifa za msingi ni kama inavyooneshwa katika kiambatanisho hapa chini:
Mnunuzi mwenye nia ya dhati... tafadhali ni P.M - offer yako.
Tuko pamoja na Nawakilisha.
Dar es salaam -Samsung 40' LED Series 5, genuine, Surge safe, Full HD (1080P), Clear Motion Rate.. and several other features.. Inbox me for serious offers... The deal expires today 4pm.
Fist come, first save.
nawakilisha
Wadau.. heshima mbele
naomba kufahamu bei ya soko kwa ekari moja ya ardhi ambayo haijapimwa ina ina hati ya mauziano... Morogoro-Kingolwira, upande wa Manispaa na umbali wa Km 2 toka barabara kuu ya Moro-Dar..
Ahsanteni..
Wadau..
Nyumba ipo Kigamboni-Kibada... ipo katika makazi yaliyopimwa na kina hati.. nyumba iko katika kiwango cha renta.
Mmiliki amekwama kiuchumi kumalizia ujenzi.
Bei 50 Mil. mazungumzo yapo..
Mwenye nia thabiti ani-PM...
Nawakilisha.
Heshima Wadau..
Ni wapi ninaweza nikapata vitabu vyenye maswali na majibu ya mitihani kwa masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia haya kwa takribani miaka 20 iliyopita?!
Nawakilisha nikitanguliza shukrani
ni sehemu/ kumbi mtu aweza pata burudnani tajwa hapo juu... sehemu ziwe na staha kwa watu wazima, zisiwe na vurugu za vijana wa zama hizi za Whats up na Facebook...
Mfano..
-La Prima... King Kikii anafanya mambo pale kila ijumaa ila kuna vurugu za za masharo wa kiume na wa kike...
Mtajwa hapo juu..
-awe anapatikana dar es salaam, manispaa ya kinondoni..
-mwenye masharti nafuu (kiwango cha riba na na muda wa malipo) atapewa kipaumbele..
-mkopaji ni mwajiriwa/mjasirimali(ushahidi na maelezo ya ziada vitatolewa kwa atakayefuzu)...!!
-Dhumuni la mkopo..Dharura..
Kwa aliye...
Mie simo..
1. Huna muda wa kushinda na mpenzi wako kutwa nzima mkipiga stori za mapenzi
2. Ukihitaji kufanya mapenzi mahali unakokufikiria ni kitandani
3. Unaanza kujaza friji lako kwa vyakula zaidi kuliko pombe
4. Muziki unaoupenda unausikia ukiwa kwenye lifti ama kwenye gari lako ukienda...
Location: London, UK
Duration: February to July 2013 (approximately 6 months)
Closing Date: 31 Dec 2012
The Communications and Public Affairs Division of the Commonwealth Secretariat is seeking a young journalist from one of the following countries in Africa to undertake an approximate...
WARNING WORTH HEADING.
Please take note of the following tips for December you have been warned so please dont repeat last years mess
DECEMBER 15 - Payday
DECEMBER 16
DECEMBER 24
DECEMBER 25
DECEMBER 27
JANUARY...
Nime rushiwa mahali nami nimeisogeza humu. Kwa walio chini ya miaka 35 ..
Kong'oli link hiyo..
https://gc21.giz.de/ibt/gc21/area=portal/style=myso/paint=myso/de/usr/modules/gc21/ws-afrikakommt/ibt/documents/Announcement-Afrika-kommt.pdf
Nawakilisha
Wadau...
Nina rafiki yangu.. fani yake ni Udereva. Ni mzoefu wa muda mrefu.
Ametumikia Kampuni ya Mabasi na sasa amechoka lawama za tajiri. Mnahitaji udereva safari maalum mf. Gari za kuplekwa mkioani.. coaster ya kusafirisha msiba kwenda mikoani.. coaster kupeleka biria safari maalum.. gari...
Wadau,
Kuna jamaa yangu anahitaji kusafirisha mizigo tajwa hapo juu kwenda sites(minara ya simu) 21 Mkoani kagera... jumla ya mzigo ni kama tani 39...
Inahitajika Kampuni yenye uwezo wa kufikisha huo mzigo ilete mchanganuo wa hiyo kazi..
Seroius people ni-pm ASAP . Hatakiwi mtu kati.
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.