Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
ni sehemu/ kumbi mtu aweza pata burudnani tajwa hapo juu... sehemu ziwe na staha kwa watu wazima, zisiwe na vurugu za vijana wa zama hizi za Whats up na Facebook...
Mfano..
-La Prima... King Kikii anafanya mambo pale kila ijumaa ila kuna vurugu za za masharo wa kiume na wa kike kujishebedua...
-Salender.... Njenje huwa wanafanya mambo pale.. ila kuna u.pumba.f mwingi hasa to kwa vijana wa mitaa ya Upanga..
Mapendekezo tafadhali.
Mfano..
-La Prima... King Kikii anafanya mambo pale kila ijumaa ila kuna vurugu za za masharo wa kiume na wa kike kujishebedua...
-Salender.... Njenje huwa wanafanya mambo pale.. ila kuna u.pumba.f mwingi hasa to kwa vijana wa mitaa ya Upanga..
Mapendekezo tafadhali.