Unaogopa nini kujieleza waziwazi?kwa siku chache kwa elimu za uzeeni... MMU tafazali kwa kubadilishana uzoefu wa maisha.!!
Wapeleka 'sembe' nawaheshimu ila hawahusiki na hili..!!
kwa siku chache kwa elimu za uzeeni... MMU tafazali kwa kubadilishana uzoefu wa maisha.!!
Wapeleka 'sembe' nawaheshimu ila hawahusiki na hili..!!
kwa siku chache kwa elimu za uzeeni... MMU tafazali kwa kubadilishana uzoefu wa maisha.!!
Wapeleka 'sembe' nawaheshimu ila hawahusiki na hili..!!
Sijakupata vyema, una maanisha wapeleka madawa aka 'sembe' hawahusiki na kitu gani huko pretoria? Maana kama ni 'sembe' ilikamatiwa O.Tambo Inter Airport, huko J'burg!
Siko J'berg...Niko pretoria... kwa siku chache.. naongeza maarifa ya kazi.. ningependa nikutane na mwana MMU kama yuko huku.. ila asijwe anajihusisha na kusukuma'sembe'.. ... Ki-usalama zaidi...!! Kwa amabo hawakunisoma mapema... kumradhi..!!Sijakupata vyema, una maanisha wapeleka madawa aka 'sembe' hawahusiki na kitu gani huko pretoria? Maana kama ni 'sembe' ilikamatiwa O.Tambo Inter Airport, huko J'burg!
Siko J'berg...Niko pretoria... kwa siku chache.. naongeza maarifa ya kazi.. ningependa nikutane na mwana MMU kama yuko huku.. ila asijwe anajihusisha na kusukuma'sembe'.. ... Ki-usalama zaidi...!! Kwa amabo hawakunisoma mapema... kumradhi..!!
Msalimie sana SARAFINA...muulize movie nyingine atatoa lini?
hicho ndo cha maana kashajizeekea hatacheza vizuri na zile uniform
Msalimie sana SARAFINA...muulize movie nyingine atatoa lini?
Arosto hizi.....kwa siku chache kwa elimu za uzeeni... MMU tafazali kwa kubadilishana uzoefu wa maisha.!!
Wapeleka 'sembe' nawaheshimu ila hawahusiki na hili..!!