Kufahamu Bei (kwa wanaofahamu)

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wadau.. heshima mbele
naomba kufahamu bei ya soko kwa ekari moja ya ardhi ambayo haijapimwa ina ina hati ya mauziano... Morogoro-Kingolwira, upande wa Manispaa na umbali wa Km 2 toka barabara kuu ya Moro-Dar..
Ahsanteni..
 
Back
Top Bottom