Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya haraka. Karibuni namba yangu 0674223223 mimi ni mmiliki mwenyewe. Karibuni
Habari
Nauza gari Nissan extrail for repair or spare.
Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004
Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine haina shida kabisa
Mwenye kuhitaji pressure washer za kukodisha tuwasiliane tafadhali,nina karcher k2 nakodisha kila moja kwa elfu 60 (7 days).Naweza pia kumkodidha mtu akafanyia biashara then akawa analipa weekly.model ni karcher k2.ukihitaji za kununua pia zipo.call on 0713404014
Wana JF ninawatangazia kuna huduma inakuja ya kusafisha tiles kwa ujumla iwe ofisini ,majumbani .nina mashine maalum ya kusafisha tiles na kwenye yale maungio hasa ndio yanachafuka sana .pia km bathroom yako inakijani kijana ile basi inakuwa kama mpyaa.pia tutasafisha na madirisha yote ya vioo...
Brand new samsung st66 camera zinauzwa,zina 16.4 megapixels,3" screen,zinachukuchukua hd moview, zoom 5x digital zoom ,rechargeble battery,n.k Camera za ukweli kutoka UK mwenye kuhitaji inbox me.Bei 350000
Wadau naomba ideas zenu kuhusu printing ,nilikuwa nafikiria kufungua sehemu ya kuprint tshits,plates,vikombe na mengineyo,je ni machine gani nzuri au ambayo itafaa kwa shughuli hizo?je kwa wenye kufanya hii biashara mnaonaje ni biashara nzuri ?nahitaji maoni yenu wana forum
Nauza wallets za kike za ngozi kwa jumla au rejareja ,za ukweli kutoka uk,Bei ya jumla 20000 kwa moja na rejareja 25000 kwa moja.napatikana ubungo.wallets ziko za rangi tofauti na design tofauti , hizo pochi ni baadhi ya mifano ,namba yangu 0713 404014 karibuni
wadau natafuta sehemu ya kuweka car wash ,ninazo machine tayari natafuta tu eneo ambalo lina maji ya kutoka na lenye biashara km kuna mtu an idea yoyote anieleweshe ndugu zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.