Wakuu salama?
Mfano mtu anataka ku experience the difference, ahame kutoka Toyota Rav 4/Harrier/Vanguard. Je kati ya hizi gari mbili ipi nzuri zaidi ama abakie tu kwa Toyota?
Gari hizo ni Foresta Toleo la nne na X-trail toleo la nne.
Ahsante sana
Nissan x-trail hybrid
Honda vezel hybrid
Gari zote ni cc chini ya 2000cc pia ni 4w drive
consumption ya hybrid si chini ya 20km/l so nashauri kama unataka kaagiza gari basi zingatia hybrid cars kama hizo, maoni zaidi yanakaribishwa.
Habari wakuu.
Kuna staff mwenzangu kaniomba ushauri kuhusu Xtrail toleo la pili kuanzia 2015 anataka kununua nimpe ushauri.
Sasa ukizingatia mimi sio mtaalamu wa masuala ya magari, nikaona niombe ushauri huku kwanza ili nipate abc za kumpa.
Waomba reviews za hiyo gari wakuu.
Ahsante sana.
Habari
Nauza gari Nissan extrail for repair or spare.
Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004
Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine haina shida kabisa
Wadau, salamu kwenu.
Naomba ushauri toka kwenu. Mimi ni mgeni wa magari ila nayapenda haya magari, sasa je gari gani kati ya Nissan X-tail na Subaru Forester ni bora zaidi kwenye:
1. Uimara
2. Kuhimili barabara za vumbi na tope
3. Upatikanaji wa spea
Habari wanabodi
Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea zaid ya mwezi, kama wiki moja iliyopita taa ya check engine iliwaka, nikaona isiwe tabu, nikapeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.