Nadhani tumesikia bajeti mpya ilivyoongeza kodi kwenye magari yaliyotumika nje. Focus kubwa ikiwa kwenye umri wa gari na ukubwa wa engine.
Ila kwa upande wa pili, ni furaha kwa wenye mpango wa kuingiza magari ya umeme.
Excise Duty kwa magari ya umeme (EV) imeondolewa kabisa. (Ila Excise Duty...
--
Kwa sasa natumia Browser hizi:
Incogniton Browser
Multilogin Browser
Je wewe unatumia browser ipi katika muktadha huu The browser is the "engine," but the proxy is the "fuel." Even a Ferrari (MoreLogin) won't move if you put water in the tank (Free Proxy/VPN).
Habari Wakuu..nina magari mawili Toyota Run x na Kulger.
Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka.
Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa...
Na Morning Joy Motors
Kama ukishindwa kugundua haraka dalili hizi ambazo zinaashiria hitilafu kwenye engine bearing za gari yako basi soon, itakulazimu kulipa gharama kubwa za matengenezo au hata kubadili engine nzima na kuweka mpya kabisa.
Nini Husababisha Engine Bearings Kuharibika...
Nissan Pick-Up
Engine QD32
Cc 3153
Fuel Diesel ⛽
AC ipo
Full Document.
Location Dar Es Salaam
Bei milion 25 maongezi kidogo.
Nipigie simu boss ukague hii Chuma
📱0754693556
Wanaseme
Nisan zote ni vimeo, ukweli upo wapi ndugu wa taalam wa magari.
Nisan extrail wanasema zinanock engine.
Nisan dualis wanasema zinaungua
Nisan navala wanaseme zinasumbua geer box
Yaani kila nisan inashida.
Je,kunaukweli au ni habari za kufikirika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.