Huko Duniani bei ya mafuta imeshuka sana. Huku kwetu bidhaa nyingi zinazidi kupanda bei kwa sababu nishati ya mafuta inayotumika katika kuzalisha na kusafirisha bidhaa iko juu.
~ EWURA wameshindwa kusimamia bidhaa ya mafuta kushuka bei?
~ Mama anaridhika na kupanda bei ya mafuta inayopandisha...
AMEANDIKA:
BABA ASKOFU EMMAUS BANDEKILE MWAMAKULA.
USALAMA WA MAISHA YA LISSU UKO HATARINI, AKIMBILIA KUPATA HIFADHI KATIKA UBALOZI WA UJERUMANI JIJINI DAR ES SALAAM!
Jana tarehe 5 Novemba 2020 nilizungumza na aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha...
CCM ikishinda kwa namna yoyote ile tutakuwa hatujamtendea haki Hayati Mwl. Nyerere, watanzania tuyaishi maneno ya Mwl. Nyerere tuache uoga tujikwamue katika makucha ya CCM
Dirisha la nafasi ya kugombea urais ndani ya CHADEMA limefunguliwa rasmi Leo. CHADEMA safari hii wameamua kuzuia waviziaji kama mamvi.
Ni raha sana kwa Democrasia ndani ya CHADEMA. Ukitaka uenyekiti ndani ya chama nafasi zinawekwa wazi, zinatangazwa, wenye uwezo mnaomba, kura zinapigwa na...
SEHEMU YA KWANZA.
Mimi nafanya shughuli zangu city centre.. Natumia usafiri wa pikipiki kuendesha shughuli zangu mjini ili kufika sehemu kwa wakati.
Kuna order iliwahi kutolewa na mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda kutoingia mjini bila kibali. Ili kutii agizo hilo huwa nakata kibali kila baada ya...
Africa
It’s time for a reckoning for Kagame and his Western cheerleaders
Timothy B Reid 23 Apr 2019 00:00
A quarter of a century later, it is about time that the role of Paul Kagame and his allies in the Rwandan genocide and the years of violence which followed is properly examined. (Reuters)...
Africa
It’s time for a reckoning for Kagame and his Western cheerleaders
Timothy B Reid 23 Apr 2019 00:00
A quarter of a century later, it is about time that the role of Paul Kagame and his allies in the Rwandan genocide and the years of violence which followed is properly examined. (Reuters)...
Tangu rais atue mtwara na kuagiza wakulima wadogo wadogo wote walipwe ndani ya siku 2 hadi Leo hatujalipwa. Kila tunapohoji tunaambiwa tusubiri kidogo tutalupwa, je ikiwa rais alisemà tulipwe na kwamba pesa IPO lakini hadi Leo hatujalipwa, pesa za wakulima zimepigwa na wajanja?
Wanabodi, salaam.
Wakati mawaziri wakiendelea kutoa kauli zisizoeleweka kuhusu takwa la kisheria la kupanda mshahara mtaani hali inazidi kuwa mbaya.
Unga umepanda bei sana. mwezi january unga wa sembe kilo 25 ulikuwa ukiuzwa 14,500/= kwa bei ya jumla. Leo unga ule ule unauzwa 27,000/= kwa bei...
Kwa sasa habari ya mjini ni mambo manne ambayo yanawapa credit
1. Ufisadi wa serikali ya awamu ya 5 kupitia ripoti ya CAG
2. Nyongeza ya mishahara kisheria
3. Katiba mpya
4. Utawala bora
Huku mtaani tunawaelewa na watumishi wameanza kuwapanga wapiga kura taratibu. .
Ninyi kila siku muwabane...
*TUNAPOMKUMBUKA YUDA ISKARIOTE, TUSIWASAHAU* WABUNGE WA CCM *WALIOKATAA HOJA YA KUTETEA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA ISIJADILIWE BUNGENI TUNAPOELEKEA UCHAGUZI MKUU 2019-2020.*
Na Mwl, John Pambalu.
Yuda Iskarioti (kwa Kiebrania יהודה איש־קריות), Myahudi wa karne ya 1, alikuwa mmojawapo wa...
Naitamani sana ile nafasi ya TUCTA. Nawaoneà sana hurumaa wafanyakazi hasa wa kada za Chini ambao wanatumia mishahara yao kufanya kazi zaa serikali.
Hawa watumishi hulipa kutoka ktk mishahara yao huduma zifuatazo;
Usafiri wa kwenda kazini na kurudi
Upangaji wa nyumba
Usafiri wa likizo
Maji...
Mkulima ataendelea kutaabika hadi pale atakapopata mtetezi wa kweli.
Hadi sasa hivi sisi wakulima wadogo wadogo hatujalipwa japokuwa tulishahakikiwa siku nyingi na rais akiwa mtwara alielekeza tulipwe ndani ya siku mbili.
Kangomba ndo hawajalipwa hata mmoja, walilipa wakulima wachache wakati...
Enzi za Jk ambapo Bunge lilikuwa la hoja kwelikweli , mawaziri walibanwa, makatibu walitaitiwa, Bunge Lilikuwa moto moto viongozi waliwajibishwa. Rais aliitwa DHAIFU.
Enzi za Jpm ambapo bunge lipo gizani hatujui kinachoendelea, zaidi tunapata mitandaoni vioja vya watu kama kibajaji, msukuma...
Kuna biashara mbovu ya kuwaumiza bodaboda na waendesha pikipiki mjini.
Awali hili lilikuwa ni katazo la Paul Makonda sasa umekuwa ni mradi halisi. Nani anafaidika makonda? CCM? CHADEMA?
Nauliza hivi kwa sababu huu mradi umekaa kitapeli tapeli.
Wakamataji unaongea nao dau kwanza nje ya...
Ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya uchaguzi, watendaji(makada wa ccm) wanaajiriwa moja kwa moja toka wizarani kwenda katani. Mkurugenzi sasa hapangi watumishi wanaoajiriwa kutokana na uhitaji wake. Hapa katani kwetu ameletwa mtendaji(kada) kwa maelekezo toka wizarani wakati tayari hapa tuna...
Wakati ni huu wa kumuondoa Dr Musigwa TUCTA na CCM. Watumishi kwa hili tuungane.
KUPORWA KWA MAFAO YA WAFANYAKAZI: DHAMBI YA BUNGE AU TUNALISHWA 'MATANGO PORI'???
Wakubwa zangu salaam. Mimi ni Mbunge na kwa hiyo ninaweza kusemwa nina maslahi katika mjadala huu. Ninayo kweli.
Kwa vile...
Zitto Zubeir kabwe
Mwongozo wa namna ya kuishi na Magufuli kwa wanasiasa, wastaafu na wafanyabishara

Moja
Usisema CCM bali sema CCM ya Magufuli. Wala usijaribu kusema Serikali ya CCM bali Serikali ya Magufuli. Katika fikra zake, yeye ni zaidi ya Chama kilichomuweka madarakani. Yeye ndiye...
Wana Jf Tujiulize haya,
Chama kikubwa kama chama cha mapinduzi(CCM) kwa nini hawajawahi kutueleza ruzuku yao inatumikaje? Mbona kila siku wanahoji ruzuku ya CHADEMA lakini hawatupi matumizi ya ruzuku yao?
Kwa nini hatuhoji ufisadi unaofanywa na vigogo wa CCM wa matrioni na mali za umma ila...
Nahitaji tajiri au kampuni ya kununua pikipiki mpya au used ili niingie nae mkataba wa mwaka mmoja.
1. Ukinunua pikipiki mpya kila wiki nawasilisha tsh 70,000*wiki52= 3,640,000/= kwa mwaka(service zote kubwa na ndogo kwangu).
NB: Mkataba wa mwaka ukiisha pikipiki inakuwa Mali yangu.
Au
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.