Hatujalipwa pesa ya korosho hadi sasa. Kauli ya Rais imepuuzwa?

afsa

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
1,983
1,574
Mkulima ataendelea kutaabika hadi pale atakapopata mtetezi wa kweli.
Hadi sasa hivi sisi wakulima wadogo wadogo hatujalipwa japokuwa tulishahakikiwa siku nyingi na rais akiwa mtwara alielekeza tulipwe ndani ya siku mbili.

Kangomba ndo hawajalipwa hata mmoja, walilipa wakulima wachache wakati rais akiendelea na ziara bada ya kuondoka wakasitisha hadi Leo hatujalipwa.

Sikukuu ya Christmas na mwaka mpya sikuila vizuru kwa sababu sikulipwa korosho zangu hata hii pasaka naona ikipita hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezekani pande zote mbili zikawa zinasema ukweli ama kusema uongo kwa wakati mmoja. Ni lazima ama Serikali inasema uongo au wakulima wa Korosho ndiyo wanaosema uongo. Nani Muongo na nani mkweli ni wabunge wa Kusini pekee ndiyo wanaoweza kutegeua hiki kitendawili.

Wabunge wa kusini hebu tokeni hadharani na kusema kama wakulima wa Korosho wamelipwa ama hawajalipwa.
 
Mkulima ataendelea kutaabika hadi pale atakapopata mtetezi wa kweli.
Hadi sasa hivi sisi wakulima wadogo wadogo hatujalipwa japokuwa tulishahakikiwa siku nyingi na rais akiwa mtwara alielekeza tulipwe ndani ya siku mbili.

Kangomba ndo hawajalipwa hata mmoja, walilipa wakulima wachache wakati rais akiendelea na ziara bada ya kuondoka wakasitisha hadi Leo hatujalipwa.

Sikukuu ya Christmas na mwaka mpya sikuila vizuru kwa sababu sikulipwa korosho zangu hata hii pasaka naona ikipita hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya kunitetea wenyewe mnasubiri mtetezi,hayo Mambo mengine unayolalamikia Kama kula sikuku vizuri si lazima Sana,Cha lazima Sana ni CCM kuwa madarakani
 
Mkuu
Hawezekani pande zote mbili zikawa zinasema ukweli ama kusema uongo ni lazima ama Serikali inasema uongo au wakulima wa Korosho ndiyo wanaosema uongo. Nani Muongo na nani mkweli ni wabunge wa Kusini pekee ndiyo wanaoweza kutegeua hiki kitendawili.

Wabunge wa kusini hebu tokeni hadharani na kusema kama wakulima Korosho wamelipwa ama hawajalipwa.
Mbunge anasema ukweli mzuri zaidi kuliko muathirika?
 
Mkuu

Mbunge anasema ukweli mzuri zaidi kuliko muathirika?
Mbunge sauti yake inasikika zaidi kuliko muathirika. Maana wakulima wanasema hawajalipwa lakini serikali inasema wamelipwa, kwa maana nyingine shahidi wa kulipa ama kulipwa au kutokulipwa anatakiwa awe Mbunge.
 
Hawezekani pande zote mbili zikawa zinasema ukweli ama kusema uongo kwa wakati mmoja. Ni lazima ama Serikali inasema uongo au wakulima wa Korosho ndiyo wanaosema uongo. Nani Muongo na nani mkweli ni wabunge wa Kusini pekee ndiyo wanaoweza kutegeua hiki kitendawili.

Wabunge wa kusini hebu tokeni hadharani na kusema kama wakulima wa Korosho wamelipwa ama hawajalipwa.
Wanaogopa kupigiwa shangazi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezekani pande zote mbili zikawa zinasema ukweli ama kusema uongo kwa wakati mmoja. Ni lazima ama Serikali inasema uongo au wakulima wa Korosho ndiyo wanaosema uongo. Nani Muongo na nani mkweli ni wabunge wa Kusini pekee ndiyo wanaoweza kutegeua hiki kitendawili.

Wabunge wa kusini hebu tokeni hadharani na kusema kama wakulima wa Korosho wamelipwa ama hawajalipwa.
Mimi sijalipwa na kilo zangu hazifiki hata tani moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijalipwa na kilo zangu hazifiki hata tani moja
Inawezekana kabisa, lakini jua serikali ni taasisi na bunge nalo ni taasisi. Kama serikali inasema mmelipwa na nyie mnasema hamjalipwa, basi inatakiwa wabunge wenu waje waoneshe kipi ni kipi kati yenu na serikali.
 
Mkulima ataendelea kutaabika hadi pale atakapopata mtetezi wa kweli.
Hadi sasa hivi sisi wakulima wadogo wadogo hatujalipwa japokuwa tulishahakikiwa siku nyingi na rais akiwa mtwara alielekeza tulipwe ndani ya siku mbili.

Kangomba ndo hawajalipwa hata mmoja, walilipa wakulima wachache wakati rais akiendelea na ziara bada ya kuondoka wakasitisha hadi Leo hatujalipwa.

Sikukuu ya Christmas na mwaka mpya sikuila vizuru kwa sababu sikulipwa korosho zangu hata hii pasaka naona ikipita hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlizoea kupiga dili!
 
Back
Top Bottom